Msifunge ndoa kwasababu 'mnapendana'

Msifunge ndoa kwasababu 'mnapendana'

Ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaooana bila mapenzi... ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana bila mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. ndoa zinawashinda
Kuna wasioendana kabisaaaaa.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoishi kwa mazoea.. ndoa zinadumu
Kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. ndoa zinawashinda
Kuna ambao hawaoani kabisa.. wanaishi tu.. miaka nenda rudi hawana tatizo.. wako happy
Kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. ndoa zinadumu.....nakadhalika.. nakadhalika.
AND VICE VERSA

Bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua ACHA.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment
3. Kama ndoa yako ina amani, mshukuru Mungu wako.. usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. au nilifanya vile..
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means
5. Mwisho, kumbuka ndoa ni ARTIFICIAL sio natural. Naturally, binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.

^^
Well said
^^
 
Ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaooana bila mapenzi... ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana bila mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. ndoa zinawashinda
Kuna wasioendana kabisaaaaa.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoishi kwa mazoea.. ndoa zinadumu
Kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. ndoa zinawashinda
Kuna ambao hawaoani kabisa.. wanaishi tu.. miaka nenda rudi hawana tatizo.. wako happy
Kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. ndoa zinadumu.....nakadhalika.. nakadhalika.
AND VICE VERSA

Bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua ACHA.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment
3. Kama ndoa yako ina amani, mshukuru Mungu wako.. usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. au nilifanya vile..
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means
5. Mwisho, kumbuka ndoa ni ARTIFICIAL sio natural. Naturally, binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.

..wewe ndo umeongea kila kitu!
Hakuna fomula ya ndoa!
..ndo maana mi nasema kichwa kinaniuma.......
 
anko wangu mmoja aliniambia niolewe na mtu ambae nitaweza kuishi nae.......na hakugusia swala la kumpenda kwa dhati.....kwa maneno ya huyo anko najaribu kulinganisha na mada naona kama kuna ukweli fulani.......
 
one that loves truly never lose entirely...nilisoma pia hli kwenye kitabu kimoja kitakatifu, japo sina uhakika na kama naliandka kwa usahihi "upendo huvumilia, upendo haujivuni, upendo hautakabali...."
 
safi sana..wale wanaotoa mafundisho kabla ya ndoa wanatakiwa kuwa wakweli na kusema hayo yote
 
Mie suala awe mzuri tu, mengine baadaye. Huwezi kuoa mwanamke kama jini ili mzae vibudu aisee. Japo mke wangu nakiri wazi kwa sasa ananipa jakamoyo ila sikomi nagegeda kiulafi hadi anapoa. Ndoa bana is all about kugegeda. Malengo sijui mipango hiyo hutokea kwa bahati tu kama ya Mendel yule wa Genetics.

Pangu Pakavu.
 
Mie suala awe mzuri tu, mengine baadaye. Huwezi kuoa mwanamke kama jini ili mzae vibudu aisee. Japo mke wangu nakiri wazi kwa sasa ananipa jakamoyo ila sikomi nagegeda kiulafi hadi anapoa. Ndoa bana is all about kugegeda. Malengo sijui mipango hiyo hutokea kwa bahati tu kama ya Mendel yule wa Genetics.

Pangu Pakavu.

Ha haaaa,yaani nimecheka, naona post yako imenipunguzia maumivu ya kichwa
 
Ndo ukweli huo bibie...wasije watu na mastori kibaaooo oohh mara asiwe mbaguzi mara oohh tabia njema...sijui mpenda watu...wewe una scanner?? Miw nilikuwa joroe lakini nimepatikana so nimeamua wembe ni uleule...kugegeda tu kwa fujo...jikoni...sebuleni...kwenye ndinga yangu...bafuni mie sina habari napiga maneno tu...hadi akiniona anakosa raha mie sijali nagegeda tu.
 
Mama muuza niongezee nusu niwachane wajuaji hapa...wewe unadhani ndoa mchezo...kama huna ubavu wa kumgegeda mkeo hadi agegedeke achana na wazo la ndoa...bakini wapenzi tu mkitembea barabarani mnashikana mikono..hovyooooo
 
Ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaooana bila mapenzi... ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana bila mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. ndoa zinawashinda
Kuna wasioendana kabisaaaaa.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoishi kwa mazoea.. ndoa zinadumu
Kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. ndoa zinawashinda
Kuna ambao hawaoani kabisa.. wanaishi tu.. miaka nenda rudi hawana tatizo.. wako happy
Kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. ndoa zinadumu.....nakadhalika.. nakadhalika.
AND VICE VERSA

Bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua ACHA.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment
3. Kama ndoa yako ina amani, mshukuru Mungu wako.. usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. au nilifanya vile..
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means
5. Mwisho, kumbuka ndoa ni ARTIFICIAL sio natural. Naturally, binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.

Cc:lara 1, Munkari, Kibibi jongo, Heaven on Earth
 
Lara 1 eehh...unaniua sana kipenzi hivi una mme aisee???!!!
 
Mie suala awe mzuri tu, mengine baadaye. Huwezi kuoa mwanamke kama jini ili mzae vibudu aisee. Japo mke wangu nakiri wazi kwa sasa ananipa jakamoyo ila sikomi nagegeda kiulafi hadi anapoa. Ndoa bana is all about kugegeda. Malengo sijui mipango hiyo hutokea kwa bahati tu kama ya Mendel yule wa Genetics.

Pangu Pakavu.
Mama muuza niongezee nusu niwachane wajuaji hapa...wewe unadhani ndoa mchezo...kama huna ubavu wa kumgegeda mkeo hadi agegedeke achana na wazo la ndoa...bakini wapenzi tu mkitembea barabarani mnashikana mikono..hovyooooo

Ndo ukweli huo bibie...wasije watu na mastori kibaaooo oohh mara asiwe mbaguzi mara oohh tabia njema...sijui mpenda watu...wewe una scanner?? Miw nilikuwa joroe lakini nimepatikana so nimeamua wembe ni uleule...kugegeda tu kwa fujo...jikoni...sebuleni...kwenye ndinga yangu...bafuni mie sina habari napiga maneno tu...hadi akiniona anakosa raha mie sijali nagegeda tu.

Mmmmhhhhh!!!!!!!!!!!!!
 
changamoto ni nyingi sana katika ndoa.
Na ni ngumu sana kuzitolea majibu mepesi.
lakini mapenzi na upendo ndio kigezo kikubwa zaidi kikiambana na FURAHA.
Mana ni rahisi kwa mtu anaekupenda kukuvumilia,ni rahisi kukusamehe makosa yako.
MAPENZI ,UPENDO NA FURAHA vinapungua ama kukata kwa sababu pia.
Mfano mpenzi wako anaweza kukuvumilia tabia asiyoipenda,badala ya kuacha unaendelea,inafika wakati anakata tamaa kukubadilisha anaanza kuishiwa upendo na furaha na hapo kuna ndoa za wengine anazitamani kwa mtazamo wake.HAPO AKIPATA MTU AKAJIONA MWENYE FURAHA NDIO MAMBO HUHARIBIKA KABISA.
mimi vigezo vyangu ni kama ifuatavyo.
1.uzuri ndio nambari moja(plus usafi)
2.tabia mjema(hili ni pana)
3.awe na heshima kwa kila mtu
4.mpole
5.asiwe mbaguzi(mf hatakiwi kuwa mchoyo)
7.MAPUNGUFU YAKE LAZIMA NIYAJUE NA NISIPOYAJUA HAPO BADO SIJAMUA KUMUOA HATA MPAKA KESHO.
sababu ya mapungufu ndio huvunja ndoa nyingi.
UNATAKIWA KUJUA MAPUNGUFU YAKE ILI UJUE KAMA UNAWEZA KUYAVUMILIA MUDA WOTE WA NDOA,mana haya huwezi kuyaondoa kamwe

Ummeshau awe mcha Mungu
 
Ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.

Ila kuna kanuni za ndoa!
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinawashinda

I agree!
Kwasababu mapenzi pekee hayatoshi kuifanya ndoa idumu!
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinadumu

Kuna kudumu ilimradi tu
Sijui wewe unazungumzia zipi
Kuna wanaooana bila mapenzi... ndoa zinawashinda

I agree
Lakini kilichoifanya ndoa ife kinaweza kuwa sio hiki!
Kuna wanaooana bila mapenzi.. ndoa zinadumu

Hapa kuna ka ugumu japokuwa na ka ukweli pia kapo

Kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. ndoa zinawashinda

Haiwezekani kabisaaa!!!
Kuna wasioendana kabisaaaaa.. ndoa zinadumu

Hiki kitakuwa ni kituko cha karne
Haiwezekani kabisa hii
Kama hawaendani wataishije?
Kama ni kidikteta sawa!
Kuna wanaoishi kwa mazoea.. ndoa zinadumu

Sawa lakini kwa maumivu!
Kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. ndoa zinawashinda

Sina hakika kama unajua unachoongea hapa
Mtu hajui kwanini amemuoa mtu halafu wanadumu?
Halafu watu wamechunguzana halafu ndoa inawashinda?
Mmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!

Kuna ambao hawaoani kabisa.. wanaishi tu.. miaka nenda rudi hawana tatizo.. wako happy
Kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. ndoa zinadumu.....nakadhalika.. nakadhalika.
AND VICE VERSA

Hapa sawa japokuwa sababu za hayo zinaweza kutofautiana!

Bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua ACHA.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment

Good!

3. . usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. au nilifanya vile..

Hapana!
Kile tukifanyacho ndio mavuno yetu!
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means

May be,may be .....May be not!!!!!!!!!!

5. Mwisho, kumbuka ndoa ni ARTIFICIAL sio natural. Naturally,.

Artificial ni nini maana yake[fafanua sio maana ya jumla]

5 binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.

Mh hii nayo haieleweki kabisa hebu fafanua
Na hii ni kwa mujibu wa nani?
 
Back
Top Bottom