Msichana wa kuchat naye

Msichana wa kuchat naye

PRESIDA TO BE..

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
302
Reaction score
200
Hi Jamiiforum,

Mimi ni kijana na nafanya kazi international company moja hapa mjini Dar es salaam. Natafuta msichana anayejitambua wakubadilishana naye mawazo kama charting na jinsi ya kujikwamua kimaisha. Pia awe ni mtu wa ideas.

If interested ni pm
 
wakaka wenzako hututaki kubadilishana mawazo au mawazo yetu hayana mvuto?
 
wakaka wenzako hututaki kubadilishana mawazo au mawazo yetu hayana mvuto?

Haaaaaaaaah haaaaaaaah...! Aaaarggh Rubi wewe si uliimba" mapenzi hayana mwenyewe waweza penda kijana au mzee eeeh" waoooh i like dat song
 
Huku jf hakuna wasichana kuna wanawake
 
Kwanini iwe wanawake? Ukijibu vema naweza kujivolunteer labda ukiridhishwa na mwandiko wangu
 
maswali ya nini.... ukiona umekidhi vigezo zama PM mtaelewana huko.
 
mmmmmmh! i can gv u that anyway its just chatting mcmzingue hvo banaaaa! yy nae kakosea kwa nn atake msichana tu!mm cmo jaman..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom