Msichana wa kazi za ndani anahitajika haraka

Kwani wewe hufahamu kima cha chini .... ..GT gani ambaye anataka kutafuniwa?
Naona hatuelewani kwa hiyo siwezi kuendelea. Wewe unatumia hisia kujenga hoja, Kama mtu anafanya kazi ya kuajiriwa kwa mshahara wa 400k kwa mwezi, alafu ana familia, then akaajiri house girl akaishi nae kwa kumlipa 40k kwa mwezi, basi kwenye hiyo nyumba house girl ndiye mwenye uwezo wa kusave pesa nyingi kwa mwezi. Bosi wake kuanzia tarehe 20 anaishi kwa madeni tu hadi mwisho wa mwezi ufike. Believe me or not.
 
Naona hatuelewani kwa hiyo siwezi kuendelea. Wewe unatumia hisia kujenga hoja, Kama mtu anafanya kazi ya kuajiriwa kwa mshahara wa 400k kwa mwezi, alafu ana familia, then akaajiri house girl akaishi nae kwa kumlipa 40k kwa mwezi, basi kwenye hiyo nyumba house girl ndiye mwenye uwezo wa kusave pesa nyingi kwa mwezi. Bosi wake kuanzia tarehe 20 anaishi kwa madeni tu hadi mwisho wa mwezi ufike. Believe me or not.

Wacha kasumba wewe swala ni kwamba walipwe kutokana na masaa wanayofanya kazi. Inakuwaje wengine wafanye kazi masaa 8 kwa siku na house girls wafanye kazi zaidi ya masaa 8 then walipwe pesa kidogo?
 
Duuh mshahara 40000 ni bora afungue bishara ya kuuza vutumbua au vishet kwa mwez atapata mara tatu ya hio
 
Huu mshahara kweli au mataani tu 40,000 mimi hg wangu wawili kila wiki nawalipa 30,000 kwa kila mmoja. Kwa mwezi 120,000 kila mmoja wote = 240,000 pamoja na mlizi 150,000 kwa mwezi.
hv kwa hali ya sasa bado unamlipa hyo pesa
 
aisee kuna watu humu mnakuja na majidai mengi sanaa!..oooh hela kidogo oooh maisha ya dar sijui nn!
Mara kazi nyingi wananyanyasika..ooh maneno meengi sana.

Kunyanyasa ni hulka ya mtu siyo wote Wananyanyasa akina dada wa ndani.
Dada nilie kuwa nae nilikuwa namlipa hyo...kakaa miaka 2,hela yote alikuwa anatunza,
960,000 tsh
Kabla hajaondoka akanambia "tafadhali nahitaji msaada wako,nahitaji kununua cherehani na baskeli"
Kavinunua vyote mbele yangu na hela ikabaki,sasa kajiajiri

Mimi hata baskeli sina wala cherehani
ACHENI KUDHARAU 40,000.

Acheni porojo hzo!
 
Kampuni Yetu pia inajihusisha na Wadada wa kazi, Sasaivi walio Available ni 4, so tunaweza kuongea
 
Msichna wa kazi za ndani anahitajika haraka maeneo ya kazi ni dar mshahara 40000 kwa mwezi maeneo ya kazi ni dar,
Hata Mimi nahitaji msichana wa kazi wa kukaa na mwanangu ana mwaka mmoja na miezi 3,awe mkristo,mahali pa kazi ni Pongwe,Tanga.
Aliye tayari aje PM
 
Niliwahi kusema sheria za wafanyakazi wa majumbani zipitiwe upya na viwango vitangazwe, swala la mfanyakazi kukaa nyumba moja na mwajiri liangaliwe na wafanye kazi kwa masaa. Hii ni dhuluma ambayo inaendekezwa sana Tanzania. Wafanyakazi wa majumbani wanadhulumiwa sana.
We unalimpa sh ngapi
 
Fikiria huo mashahara unotarajia kulipa angekuwa analipwa Dada yako, usichopenda kufanyiwa usipende kumfanyia mtoto wa mwenzako.


Acheni hizo kusema dada yako na hata kama huyo dada ana akili lazima atoboe

Msichana analala kwako (hajui bei ya pango)
Atakula kwako
Ataugua utamuuguza wewe
Utamnunulia mafuta ya kupaka sabuni ya kuogea nguo za kuvaa/ndani nje ped na kila kitu
Then unampa shilingi 40,000/ akiwa na akili atasave tuu na kutuma kwao kijijini
 
Huu mshahara kweli au mataani tu 40,000 mimi hg wangu wawili kila wiki nawalipa 30,000 kwa kila mmoja. Kwa mwezi 120,000 kila mmoja wote = 240,000 pamoja na mlizi 150,000 kwa mwezi.


Sasa hapo wewe unategemea umezaa mfululizo watoto wanne wako hapo kuku ng'ombe mbuzi sasa lazima zikutoke
 
Kuna watu hawana Uwezo wa kuweka akiba ya sh 40 kila mwezi! Mshahara unaisha kabla mwingine haujaingia ila wanashangaa mtu kupewa 40 anakula, analala, anatibiwa bure nguo bure! So hiyo n akiba tu
 
Kuna watu hawana Uwezo wa kuweka akiba ya sh 40 kila mwezi! Mshahara unaisha kabla mwingine haujaingia ila wanashangaa mtu kupewa 40 anakula, analala, anatibiwa bure nguo bure! So hiyo n akiba tu
Hapo ndipo tunaposema haiwezekani, unasemaje analala bure wakati unamfanyisha kazi masaa zaidi ya nane kwa siku? Unamfidia vipi? Wacha longo longo JPM fumua huu utumwa. Maana kama inalipa kila mtu angefanya hiyo kazi ya kulala bure na kula bure etc.
 
Swala hapa si kudharau 40,000 bali ni haki kutendeka kwa kulipa kima cha mshahara halali badala ya kuwalalia kwa kuwafanyisha kazi masaa chungu nzima kwa wiki na kuwalipa ujira mdogo kinyume na sheria za nchi.

aisee kuna watu humu mnakuja na majidai mengi sanaa!..oooh hela kidogo oooh maisha ya dar sijui nn!
Mara kazi nyingi wananyanyasika..ooh maneno
sana.

Kunyanyasa ni hulka ya mtu siyo wote Wananyanyasa akina dada wa ndani.
Dada nilie kuwa nae nilikuwa namlipa hyo...kakaa miaka 2,hela yote alikuwa anatunza,
960,000 tsh
Kabla hajaondoka akanambia "tafadhali nahitaji msaada wako,nahitaji kununua cherehani na baskeli"
Kavinunua vyote mbele yangu na hela ikabaki,sasa kajiajiri

Mimi hata baskeli sina wala cherehani
ACHENI KUDHARAU 40,000.

Acheni porojo hzo!
 
Hapo ndipo tunaposema haiwezekani, unasemaje analala bure wakati unamfanyisha kazi masaa zaidi ya nane kwa siku? Unamfidia vipi? Wacha longo longo JPM fumua huu utumwa. Maana kama inalipa kila mtu angefanya hiyo kazi ya kulala bure na kula bure etc.
Sidhani kama wanashikiwa panga
 
Back
Top Bottom