Msichana wa kazi za ndani anahitajika haraka

Mnasema elfu 40 ndogo? Njooni viwandani kwa wahind muone kasheshe, mshahara laki na ishirini(unywe chai asubuh,ule mchana,ukatwe nssf, ulipie kodi ya chumba) halafu kumbuka kazi ni masaa 8 umesimama kuendesha mashine. Mdada wa kazi halipi kodi ya chumba wala chakula wala paye
 
Mnasema elfu 40 ndogo? Njooni viwandani kwa wahind muone kasheshe, mshahara laki na ishirini(unywe chai asubuh,ule mchana,ukatwe nssf, ulipie kodi ya chumba) halafu kumbuka kazi ni masaa 8 umesimama kuendesha mashine. Mdada wa kazi halipi kodi ya chumba wala chakula wala paye
hili halifanyi 40,000 kuwa nyingi. Two wrongs do not make a right.
 
Mimi nilizani mngeanza kumuuliza size ya familia yake Kabla ya kusema hiyo elfu 40 kuwa ni ndogo, huenda ni newly married couple hata bado hawaja pata mtoto kuna tatizo gani? Elfu 40 siyo ndogo Kama kuna justification !
 
Niliwahi kusema sheria za wafanyakazi wa majumbani zipitiwe upya na viwango vitangazwe, swala la mfanyakazi kukaa nyumba moja na mwajiri liangaliwe na wafanye kazi kwa masaa. Hii ni dhuluma ambayo inaendekezwa sana Tanzania. Wafanyakazi wa majumbani wanadhulumiwa sana.
Ivi angekuwa amepanga kwake na anajitegemea kila kitu house girl angestahili mshahara wa shilingi ngapi?
 
Mimi nilizani mngeanza kumuuliza size ya familia yake Kabla ya kusema hiyo elfu 40 kuwa ni ndogo, huenda ni newly married couple hata bado hawaja pata mtoto kuna tatizo gani? Elfu 40 siyo ndogo Kama kuna justification !
tena usikute anaishi hapo hapo mahitaji yote kwa boss wake
 
ifike pahala tuache mbwembwe na kujikweza mitandaoni
Ningekwambia namlipa 30,000 kwa mwezi ndio ungeona sawa. Typical JF. FYI niliweka tangazo humu humu na huo ndio mshahara niliutangaza na nilimpata humu humu na ninamlipa hio hela. Mimi sio tajiri ni masikini tu ila nathamini mchango wa mtu mwingine.
 
Ivi angekuwa amepanga kwake na anajitegemea kila kitu house girl angestahili mshahara wa shilingi ngapi?

Mkuu ndipo hapo tunatakiwa kufika mahali na kusema kama unamwajiri mfanyakazi wa ndani mshahara wake ni shillingi kadhaa kwa saa moja, na atafanya kazi kwa masaa 8 kwa siku. Mbona nchi nyingi tu wameweza, mfano UK mfanyakazi wa nyumbani kwa saa ni £7.50 (Kuanzi April 2017) ambayo ni minimum wage. Unaweza kuongeza kama wewe mwenyewe unapenda. Kitendo cha kutokubadili sheria zetu ziendane na wakati ni kuendekeza utumwa ambao ulikuwa abolished miaka mingi sana iliyopita. Hatuwezi kuendelea kuwafanyisha kazi wafanyakazi wa majumbani kwa masaa zaidi ya 8 kwa siku, ni unyanyasaji.
 
Bora ingekuwa mikoani kuna gharama nafuu za kimaisha kuliko dar kwa siku umejinyima sana Matumizi ni 10000 zidisha mara siku31uone huyo binti atabaki na nini na wengine tumezoea kwenda bilicans
 
Mkuu ndipo hapo tunatakiwa kufika mahali na kusema kama unamwajiri mfanyakazi wa ndani mshahara wake ni shillingi kadhaa kwa saa moja, na atafanya kazi kwa masaa 8 kwa siku. Mbona nchi nyingi tu wameweza, mfano UK mfanyakazi wa nyumbani kwa saa ni £7.50 (Kuanzi April 2017) ambayo ni minimum wage. Unaweza kuongeza kama wewe mwenyewe unapenda. Kitendo cha kutokubadili sheria zetu ziendane na wakati ni kuendekeza utumwa ambao ulikuwa abolished miaka mingi sana iliyopita. Hatuwezi kuendelea kuwafanyisha kazi wafanyakazi wa majumbani kwa masaa zaidi ya 8 kwa siku, ni unyanyasaji.
Hujajibu swali langu mkuu
 
Mkuu ndipo hapo tunatakiwa kufika mahali na kusema kama unamwajiri mfanyakazi wa ndani mshahara wake ni shillingi kadhaa kwa saa moja, na atafanya kazi kwa masaa 8 kwa siku. Mbona nchi nyingi tu wameweza, mfano UK mfanyakazi wa nyumbani kwa saa ni £7.50 (Kuanzi April 2017) ambayo ni minimum wage. Unaweza kuongeza kama wewe mwenyewe unapenda. Kitendo cha kutokubadili sheria zetu ziendane na wakati ni kuendekeza utumwa ambao ulikuwa abolished miaka mingi sana iliyopita. Hatuwezi kuendelea kuwafanyisha kazi wafanyakazi wa majumbani kwa masaa zaidi ya 8 kwa siku, ni unyanyasaji.
Tujue kutofautisha kati ya kazi za nyumbani na ofisini
 
CHUKUA TAHADHARI:

Ndugu wana jamii, habari za leo? Kuna dada (mfanyakazi wa ndani) nimekaa nae Kwa miezi miwili anaitwa Diana au Judith Godfrey.

Mimi sikujua kumbe anatumia gia ya kuomba kazi majumbani lakini leo kaniibia Simu kubwa na fedha nyingi.

Baada ya kufuatilia kwa undani, jina lake halisi anaitwa Sikujua Jason na michezo hii ni kawaida yake.

Nimeandika kuwapa tahadhari kuwa wadada wote tunaowapokea kukaa nao, ni vizuri kama tukiwa na ufahamu wa kutosha kuwahusu.
Lakini pia atakaemuona Huyu Dada popote, zawadi nono itatolewa.
Nnaishi Tabata Segerea, Namba yangu yangu ni 0713629460. TUMA NA KWENYE GROUPS NYINGINE. TAARIFA ZAKE ZIKO POLICE
 
Tujue kutofautisha kati ya kazi za nyumbani na ofisini
Kazi za nyumbani na ofisini hazina tofauti ni unyanyasaji tu, Wacha walipwe kwa masaa hakuna ubaguzi kama ni rahisi kwa nini unataka kuwa na mfanyakazi wa ndani? Utumwa ulitokomezwa zamani.
 
Back
Top Bottom