Kwani alikuwa hali nyumbani au havaiAnakula bure,kulala bure, nguo ananunuliwa hiyo pesa kwann isimtosh kuna watu wanalipwa laki nne kwa mwezi ila mpak mwisho wa mwezi hana pesa, saa nyie mna dharau pesa eti ndogo
Uko serious anakula bure? Hii ndio kasumba yenyewe, mlipe mshahara ajinunulie chakula, kulala bure? Kwani hawezi kujitafutia makazi yake. Hivi mdogo wako unaweza kukubali afanye hiyo kazi kweli? Hawa watumishi wa majumbani ni muhimu sana tuwalipe vizuri ili waangalie watoto wetu na kizazi kijacho tuache, hii tamaa ya kupenda dezo zaidi. Kama taifa tunatakiwa kusonga mbele na kuwatendea haki Watanzania wenzetu hasa ambao wananyanyaswa kwenye kazi zao. Nafahamu hawa wanafanya kazi zaidi ya masaa 24 ni amri tu, hebu tuwe serious kidogo kwa hawa wafanyakazi wa majumbai. Tukiliwza hilo mengine yote yatakuwa sawa tuwalipe kwa saa za kazi kama watumishi wengine, baada ya hapo ni kazi ya mama/baba.Anakula bure,kulala bure, nguo ananunuliwa hiyo pesa kwann isimtosh kuna watu wanalipwa laki nne kwa mwezi ila mpak mwisho wa mwezi hana pesa, saa nyie mna dharau pesa eti ndogo
Maneno yako kweli mkuu wanawapa kazi nyingi mpaka za uke wenza pia wanawapa.Hizo dharau ss utamuajirije mtu umlipe elfu arobaini isitoshe kaxi mnawapa nyingi aisee kuweni na huruma afadhali iwe laki moja
unatumia kinga lakini?,maana sikuhizi maradhi kibaoUmechelewa nilie nae yuko vizuri anastahili nyongeza kwa kweli. Very professional helper.
Oky kwa hiyo bei nipigie ili nikuunganishe na dada 0629166514Kulingana na maoni yenu na ninaheshimu mawazo nimeongeza elfu 20 sasa nitalipa 60 badala ya 40
ni lazima awe mdada hawezi kua house boy?Msichna wa kazi za ndani anahitajika haraka maeneo ya kazi ni dar mshahara 40000 kwa mwezi maeneo ya kazi ni dar,kwa anayehitj 0625489948
nipm namba yake nimpe kaziIla kuna mdada namfahamu anafanya kazi balaa.ila ni mkubwa yani binti.aisee hana makuu.Ila kanyanyaswa sehemu mpaka kaamua kurudi kwao
Upo sawa mkuu. Tena kuna mda mwingine hadi nauli na sadaka za chachi, kuna vitu vingi sana. Kwa mfano binti inabdi umpatie hadi pedi wife akamnunulie. Unaweza ukampa laki kwa mwezi lakini usimjariAnakula bure,kulala bure, nguo ananunuliwa hiyo pesa kwann isimtosh kuna watu wanalipwa laki nne kwa mwezi ila mpak mwisho wa mwezi hana pesa, saa nyie mna dharau pesa eti ndogo
Mie nataka kijana wa kiume mkuuni lazima awe mdada hawezi kua house boy?
Age yakeIla kuna mdada namfahamu anafanya kazi balaa.ila ni mkubwa yani binti.aisee hana makuu.Ila kanyanyaswa sehemu mpaka kaamua kurudi kwao
Mkuu kweli unahitaji!? Nipm nikuunganishe na mtunahitaji dada wa kazi za ndani na mim msaada pls