Msichana ninayemsomesha ananisaliti

Msichana ninayemsomesha ananisaliti

Mchumba anasomeshwa chuo cha biblia/quran tuu we jikute mo
 
Nisomeshe Mimi Wala sintokusaliti.
 
Nisomeshe Mimi Wala sintokusaliti.
Siamini tena kiumbe anaitwa mwanamke. Kila kitu huwa tunajifunza kwa makosa yetu au ya wengine. Mm nimejifunza nikiwa field so nimeamini mchumba hasomeshwi, na usijaribu kutumia nguvu nyingi kwa mwanamke ambaye sio mke wako utalia mchana kweupe

Kama wewe mkristo nakuacha na huu mstari kajisomee
Mit 31:3 SUV

Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.
 
Guys huwa sipendi sana kuanzisha uzi ila huwa naanzisha uzi ndani ya uzi wa mtu. Leo nimeona tu niweke uzi mpya.

Iko hivi kwa miaka zaidi ya 8nimekuwa nikihangaika kutafuta mke mdogo. Napenda kuandaa mke sio nikute ameandaliwa.niliyenaye nlimsomesha chuo mwenyewe na ndiye mke wangu.

2014 nlisomesha chuo mschana mwingine bahati mbaya akawa hana uzazi na mm shida kubwa ni kupata watot, huyu alikuwa mtoto wa maskini ambapo mama yake hakuwa na kazi hata mlo tu ni shida. Nlikuwa namgarimia kila kitu na huyu nlimkatia hadi bima yeye na mama yake huyu jina lake linaanza na J nliwahi kuleta uzi hapa wa majina flaniflani na tabia zao za kucheat. Baada ya kuzunguka sana kwa madaktari bila mafanikio ilibidi niachanenaye ila baada ya tukio la kumfumania na mwanaume mwingine.

2017/8 nlianza kusomesha tena mschana mwingine, bahati mbaya sana naye alikuwa na jina linaanza na J vilevile na linafanana na huyu wa mwanzo, naye alikuwa na mzazi mmoja tu mama yake kwani waliachana na baba yake akiwa mdogo, naye tulikuja kuachana baada ya kumfuma na kijana mwingine. Nlileta uzi pia kwamba alikuwa ananiomba hela licha ya kuachana. Sasa alikuwa na rafiki yake na rafiki yake alikuwa anaona ninavyomjali na kumhudumia kwa upendo. 2021 tukajikuta kwenye penzi zito na huyu rafiki yake by that time 2021 ndo alikuwa kamaliza f4.

Huyu naye ana wazazi wote ila baba ni kama ameitelekeza familia japo wanaishi wote ila mzee hahudumii choxhote, nao mlo tu ni shida. Baada ya mahusiano naye mwaka mmoja, 2023 nlimtafutia chuo aende kusoma ambako namlipia mimi kila kitu kwa asilimia 100.

Huyu wakati tunaanza alikuwa ni kicheche kupindukia but nlikuwa naye just kimashara tu sababu nlitoka kuumizwa na yule J, nlifanya kuchukua rafiki yake kama kulipiza pia. Alibadilika taratibu na kuwa binti wa kawaida tu. Naye nligundua ananicheat huko chuon na mshkaji ikabidi nichukue mdogo wake nimgonge kama kulipiza, nlileta uzi hapa sasa mdogo mtu leo nlikuwa naye ndo kanifungukia A to Z mpaka mwanaume anayetokaa naye chuo.

Bahati mbaya sana hamhudumii hata kitu chochote. Nlifundua hilo coz nliitisha mgomo kuhudumia nywele zake amekuja likizo zinanuka hazina matunzo. Huyu manzi mamake anajua mchongo wote hivo likizo anafikia kwangu huwa nampa nafsi kidogo anaenda kusalimia then anarudi.
Nlichoamua.

Wekend anarudi kwangu ambako atakaa hadi anaondoka kurudi chuo, nlichopanga nitampelekea moto hasa then siku anaondoka namwambia sina hela, na ninajua chuo kama sehem zake za siri hazitaumia babsi atasoma kwa shida sana. Nimeishiwa huruma naye kabisa. Akinichimba sana naweza kumwambia ukweli.
Karibu miaka 10 unazunguka ukisomesha, nakusalitiwa.
 
Mimi nimewaza hivo, kuna kitu hakipo sawa hawezi kujitoa hivo halafu achapiwe kizembe kila mara
Age ta waschana wadogo ni malaya ndio nlichojufunza maana wote walikuwa under 20. Na huyy wa mwisho alikuwa na 17 yrs wakati tunaanza kudate. Siamini sana kama shida ipo kwangu. Umri huu wanakuwa moto unawaka sana.pia wanashawishika kirahisi mno.
 
Nna mdogo wangu wa kike familia tumeahindwa kumsomesha ni pm nikukabidhi ana maadili mema sana.
 
Kama wew unamsaliti mke wako,
Nawe lazima usalitiwe hata ukihudumia Kwa ukubwa gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom