Papaa pedeshee
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 274
- 400
Ahahahahahah!Bodi ya mikopo unakuja kuomba ushauri?
Ahahahahahah!Bodi ya mikopo unakuja kuomba ushauri?
Unasomeshaje mtu ambae kwao hujulikani rasmi? Anachofanya hapo, anawapeleka chuo ili wakutane na wapenzi wa maisha yao 😅😅Ja ma ni !!!
Ni kweliUnasomeshaje mtu ambae kwao hujulikani rasmi? Anachofanya hapo, anawapeleka chuo ili wakutane na wapenzi wa maisha yao 😅😅
U hali gani lakini?Ni kweli
Sipo njema sanaU hali gani lakini?
Nataka nikusomeshe babee level yoyote unayotakaSipo njema sana
Niache kidogo ....sipo sawa....pleaseeNataka nikusomeshe babee level yoyote unayotaka
Nakadori leo umenisalitiUmegeuka wizara ya elimu kusomesha waalimu eeh

Aya sawaNiache kidogo ....sipo sawa....pleasee
Shida Nini tena?Sipo njema sana
Nimekusalitije tena chawa?Nakadori leo umenisaliti![]()
Yule wa Jana usikuShida Nini tena?