Msichana ninayemsomesha ananisaliti

Msichana ninayemsomesha ananisaliti

Na mimi nataka kusoma mkuuu ka masters tu 🌝
 
Watu wabongo huwa siwaelewi, mfu nimeandika concern yangu unaanza kunitukana, unanisaidia kutafuta hela mkuu, hela nazitafuta mwenyewe, nikitumia kusomesha mwanamke ama mtu mwingine inakuhusu nn mkuu, labda tu nikwambia nasomesha na ndugu kila mwaka huwa nina mpango wa kusaidia ndugu wasio na uwezo 4, kuwapeleka ashule na kuwalipia kila kitu, so vingine huwa nafanya sadaka pia ndo maana nakutana na wtu kama hawa waschana.
 
Kwani ulishindwa kusomesha nduguzo wakukumbuke kwa wema au masikini na yatima wanao randa randa mtaani upate thawabu kwa mwenyezi..?
 
Kamuulize Nikki wa Pili mtashauriana vizuri sana kuhusu kusomesha hawa Watu.
 
Mkiambiwa mchumba hasomeshwi ,mnatia masikio pamba .We dawa yako makofi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom