Msichana ninayemsomesha ananisaliti

Msichana ninayemsomesha ananisaliti

Unahitaji ushauri gani sasa ilhali umeshatoa tamko tayari? Sisi tunashauri nini hapo?
 
Mkuu embu jichunguze wewe kwanza... ni kwanini unachapiwa sana? Kwa wanawake wawili wote umechapiwa??? something is wrong somewhere
 
Aisee wewe una karama ya kusomesha wanawake duu hakika wewe ni “loans board”
Hivi huna ndugu wa kusomesha? Unasomesha mwanamke ili akuonee huruma?
Halafu kwanini wewe unachapiwa sana wanawake zako? Hebu jitazame upya mkuu!
Unacho kipata ni laana ya kusomesha mwanamke asiye kuhusu,,,,,
Halafu wewe kusomesha wanawake ni kama hobby yako aiseeee
 
Guys huwa sipendi sana kuanzisha uzi ila huwa naanzisha uzi ndani ya uzi wa mtu. Leo nimeona tu niweke uzi mpya.

Iko hivi kwa miaka zaidi ya 8nimekuwa nikihangaika kutafuta mke mdogo. Napenda kuandaa mke sio nikute ameandaliwa.niliyenaye nlimsomesha chuo mwenyewe na ndiye mke wangu.

2014 nlisomesha chuo mschana mwingine bahati mbaya akawa hana uzazi na mm shida kubwa ni kupata watot, huyu alikuwa mtoto wa maskini ambapo mama yake hakuwa na kazi hata mlo tu ni shida. Nlikuwa namgarimia kila kitu na huyu nlimkatia hadi bima yeye na mama yake huyu jina lake linaanza na J nliwahi kuleta uzi hapa wa majina flaniflani na tabia zao za kucheat. Baada ya kuzunguka sana kwa madaktari bila mafanikio ilibidi niachanenaye ila baada ya tukio la kumfumania na mwanaume mwingine.

2017/8 nlianza kusomesha tena mschana mwingine, bahati mbaya sana naye alikuwa na jina linaanza na J vilevile na linafanana na huyu wa mwanzo, naye alikuwa na mzazi mmoja tu mama yake kwani waliachana na baba yake akiwa mdogo, naye tulikuja kuachana baada ya kumfuma na kijana mwingine. Nlileta uzi pia kwamba alikuwa ananiomba hela licha ya kuachana. Sasa alikuwa na rafiki yake na rafiki yake alikuwa anaona ninavyomjali na kumhudumia kwa upendo. 2021 tukajikuta kwenye penzi zito na huyu rafiki yake by that time 2021 ndo alikuwa kamaliza f4.

Huyu naye ana wazazi wote ila baba ni kama ameitelekeza familia japo wanaishi wote ila mzee hahudumii choxhote, nao mlo tu ni shida. Baada ya mahusiano naye mwaka mmoja, 2023 nlimtafutia chuo aende kusoma ambako namlipia mimi kila kitu kwa asilimia 100.

Huyu wakati tunaanza alikuwa ni kicheche kupindukia but nlikuwa naye just kimashara tu sababu nlitoka kuumizwa na yule J, nlifanya kuchukua rafiki yake kama kulipiza pia. Alibadilika taratibu na kuwa binti wa kawaida tu. Naye nligundua ananicheat huko chuon na mshkaji ikabidi nichukue mdogo wake nimgonge kama kulipiza, nlileta uzi hapa sasa mdogo mtu leo nlikuwa naye ndo kanifungukia A to Z mpaka mwanaume anayetokaa naye chuo.

Bahati mbaya sana hamhudumii hata kitu chochote. Nlifundua hilo coz nliitisha mgomo kuhudumia nywele zake amekuja likizo zinanuka hazina matunzo. Huyu manzi mamake anajua mchongo wote hivo likizo anafikia kwangu huwa nampa nafsi kidogo anaenda kusalimia then anarudi.
Nlichoamua.

Wekend anarudi kwangu ambako atakaa hadi anaondoka kurudi chuo, nlichopanga nitampelekea moto hasa then siku anaondoka namwambia sina hela, na ninajua chuo kama sehem zake za siri hazitaumia babsi atasoma kwa shida sana. Nimeishiwa huruma naye kabisa. Akinichimba sana naweza kumwambia ukweli.
Wewe na hao watoto bado ni watoto wote

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Aisee mkuu umevunjaa miiko, sasa nashangaa mkuu ni kuwa uko na Huruma sana kupita uwezo wako wa kufikiria au shida yako ni nini hasa??
 
Guys huwa sipendi sana kuanzisha uzi ila huwa naanzisha uzi ndani ya uzi wa mtu. Leo nimeona tu niweke uzi mpya.

Iko hivi kwa miaka zaidi ya 8nimekuwa nikihangaika kutafuta mke mdogo. Napenda kuandaa mke sio nikute ameandaliwa.niliyenaye nlimsomesha chuo mwenyewe na ndiye mke wangu.

2014 nlisomesha chuo mschana mwingine bahati mbaya akawa hana uzazi na mm shida kubwa ni kupata watot, huyu alikuwa mtoto wa maskini ambapo mama yake hakuwa na kazi hata mlo tu ni shida. Nlikuwa namgarimia kila kitu na huyu nlimkatia hadi bima yeye na mama yake huyu jina lake linaanza na J nliwahi kuleta uzi hapa wa majina flaniflani na tabia zao za kucheat. Baada ya kuzunguka sana kwa madaktari bila mafanikio ilibidi niachanenaye ila baada ya tukio la kumfumania na mwanaume mwingine.

2017/8 nlianza kusomesha tena mschana mwingine, bahati mbaya sana naye alikuwa na jina linaanza na J vilevile na linafanana na huyu wa mwanzo, naye alikuwa na mzazi mmoja tu mama yake kwani waliachana na baba yake akiwa mdogo, naye tulikuja kuachana baada ya kumfuma na kijana mwingine. Nlileta uzi pia kwamba alikuwa ananiomba hela licha ya kuachana. Sasa alikuwa na rafiki yake na rafiki yake alikuwa anaona ninavyomjali na kumhudumia kwa upendo. 2021 tukajikuta kwenye penzi zito na huyu rafiki yake by that time 2021 ndo alikuwa kamaliza f4.

Huyu naye ana wazazi wote ila baba ni kama ameitelekeza familia japo wanaishi wote ila mzee hahudumii choxhote, nao mlo tu ni shida. Baada ya mahusiano naye mwaka mmoja, 2023 nlimtafutia chuo aende kusoma ambako namlipia mimi kila kitu kwa asilimia 100.

Huyu wakati tunaanza alikuwa ni kicheche kupindukia but nlikuwa naye just kimashara tu sababu nlitoka kuumizwa na yule J, nlifanya kuchukua rafiki yake kama kulipiza pia. Alibadilika taratibu na kuwa binti wa kawaida tu. Naye nligundua ananicheat huko chuon na mshkaji ikabidi nichukue mdogo wake nimgonge kama kulipiza, nlileta uzi hapa sasa mdogo mtu leo nlikuwa naye ndo kanifungukia A to Z mpaka mwanaume anayetokaa naye chuo.

Bahati mbaya sana hamhudumii hata kitu chochote. Nlifundua hilo coz nliitisha mgomo kuhudumia nywele zake amekuja likizo zinanuka hazina matunzo. Huyu manzi mamake anajua mchongo wote hivo likizo anafikia kwangu huwa nampa nafsi kidogo anaenda kusalimia then anarudi.
Nlichoamua.

Wekend anarudi kwangu ambako atakaa hadi anaondoka kurudi chuo, nlichopanga nitampelekea moto hasa then siku anaondoka namwambia sina hela, na ninajua chuo kama sehem zake za siri hazitaumia babsi atasoma kwa shida sana. Nimeishiwa huruma naye kabisa. Akinichimba sana naweza kumwambia ukweli.
Kaka mchumba hasomeshwi
Umekosea Sana wema unakuponza
M sinaga huruma na wanawake ndo maana nawaburuza tu
 
Jamani namimi naomba nisomeshwe nimekaa tu kumbe Kuna msaada hapa
 
BRO SIMAMA MBELE YA KIOO JICHAPE MAKOFI KUSHOTO NA KULIA.

AJABU WAZAZI WAKO HUWASAIDII KAMA WATOTO WA WENGINE.NYAU WEWE
 
Hawa wengine 2 nliwasomesha elimu ya veta ambao ada yake haitoshi hata kununulia viatu so msidhani kusomesha ndo nlikuwa nayoa gharama kubwa sana. Huyu wa mwisho ndo nlimpeleka chuo kikuu naye kozi ya certificate tu. Amayo ada ni almost laki 7. Nayo nimelipa nusu jumlisha nauli na mstumizi ya kila siku. So its not a big deal
 
HESLB no 2, unazingua sana mbona HESLB mwenzio anatoa mikopo kwa mamilion ya wanafunzi na halipi kisasi sala kulalama.

Ushauri.
Tafuta washikadau, mpite huko vijijini ili msomeshe vijana wengi zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom