Msichana mzuri kufa masikini nikujitakia

Msichana mzuri kufa masikini nikujitakia

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,970
Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.kuna kazi nyingi nzuri hazihitaji elimu kubwa bali muonekano,cashier wa bank,customer care,air hostless,receptionist,secretary,tv presenter,modelling etc

Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
 
very true....if u pretty and poor u must be stupid
 
  • Thanks
Reactions: amu
Utakuwa punga..... Kwa hiyo unawaza kuhongwa hongwa tuuu???? Ila wakihongwa HIV ulete mrejesho pia.... Nyambafuuuuuu
 
Utakuwa punga..... Kwa hiyo unawaza kuhongwa hongwa tuuu???? Ila wakihongwa HIV ulete mrejesho pia.... Nyambafuuuuuu

we unalia umasikini kwa sababu mama yako mjinga aliolewa na baba yako msukuma mkokoteni wa ilala
 
Uongozi wa awamu ya nne umewaharibu hadi wanaume mnaongea na kuwaza kuhongwa hongwa tu.

sio kuhongwa mkuu warembo wanachances nyingi hata kwa baadhi ya ajira mfano wahudumu wa ndege,customer service,receptionist,filamu,mitindo ,utangazaji tv huko kote mtaji ni uzuri
 
Warembo wanapenda machekibob,ambao ni watoto wa mama
 
mwalimu nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa

we mpaka unamaliza kuandika huu utotolish wako hapa una mavogue mangapi ya kuhongwa
 
Bado nimeduwaaaaaaaaa!!

everhurt;
Usiduwaeeee, ndicho kizazi cha dot com hiki. Atii anaona fahari saana kutamani kuwa laiti angelikwa wa kike. Angesha pewa gari mkoko naye auendeshe.
Nadhani huyu mtoto si riziki. Kwa mawazo yake haya, Mhhh
 
Uongozi wa awamu ya nne umewaharibu hadi wanaume mnaongea na kuwaza kuhongwa hongwa tu.
baba mwenyenyumba alikuwa omba omba sasa unategemea watoto wakiume kwanini wasiwe lelemama,ndomana wale watotot wakiume wanaojilemba sana naskia sikuhizi wanajiita maaunt
 
baba mwenyenyumba alikuwa omba omba sasa unategemea watoto wakiume kwanini wasiwe lelemama,ndomana wale watotot wakiume wanaojilemba sana naskia sikuhizi wanajiita maaunt

mi namjua aunti ingenja sijui ndo wewe
 
we unalia umasikini kwa sababu mama yako mjinga aliolewa na baba yako msukuma mkokoteni wa ilala
Duuuuuuh!!!!!!!!! Utakuwa mtabiri hakiya mama...Yaani mule mule.... Cha kujifunza ni kwamba pamoja na umasikini wao ila walipendana na kuheshimiana sana kiasi cha kunifanya kuwa baba bora kupitia malezi yao.
 
everhurt;
Usiduwaeeee, ndicho kizazi cha dot com hiki. Atii anaona fahari saana kutamani kuwa laiti angelikwa wa kike. Angesha pewa gari mkoko naye auendeshe.
Nadhani huyu mtoto si riziki. Kwa mawazo yake haya, Mhhh

Yani sijajua alichokiandika kamaanisha au alikua anaota au ndio kutaman uanamke km ulivyosema,
Hehehehe Mungu amsamehe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom