Hana MachoKusoma hujui, hata picha pia huoni?
Wanawake WA bongo ukiwasaidia kwa moyo mmoja wao bado watakuita danga hawa ni kuwanyima au kuwaambukiza ukimwi tuuSio kumpa kwa kujopendekeza anaomba tu kwa shida zake
Aisee watu mko tofautiTenda lolote jema mnunulie nguo mpetumie pesa uwezi kusikia wala kukutumia text ya asante huu ugonjwa tatizo lake nini hebu wenye uzoefu waje waseme kitu
Sio Kwamba watu tunapenda asante ila ni kitu cha kushangaza tu kuwaona mtu awezi kusema asante, au kutoa feedback ya kile alichopokea ila ajabu ni kwamba kuna mahusiano mazuriAisee watu mko tofauti
Wangu hataki kusikia hilo neno kabisa.
Hiki kicheko! Utaumwa mbavu!
yaan nimecheka mpk nashangaliwa na watuHiki kicheko! Utaumwa mbavu!