Msichana asiyeweza kusema asante

Msichana asiyeweza kusema asante

Mfundishe awe anakutamkia maneno romantic
Sio kwamba watu tunataka asante ila kwa watanzania asante kitu kigumu kukokosa kwa mtu hapo ndio napata shida ya huyo binadamu wa nchi gani anaweza kuwa na matatizo yayajui sio kwangu tu ya ndio tabia yake hata kwa rafiki zake wengine
 
Tenda wema nenda zako.......
la sivyo uache kuforce mambo mkuu, utakuwa haupo moyoni mwake ila wewe unajipendekeza kwa vizawadi
Unafikili ni kuforce basi yupo kwenye trigger sema tu hiyo tabia
 
Sio kwamba watu tunataka asante ila kwa watanzania asante kitu kigumu kukokosa kwa mtu hapo ndio napata shida ya huyo binadamu wa nchi gani anaweza kuwa na matatizo yayajui sio kwangu tu ya ndio tabia yake hata kwa rafiki zake wengine
Basi ni maskini jeuri uyo
 
Sio kwamba watu tunataka asante ila kwa watanzania asante kitu kigumu kukokosa kwa mtu hapo ndio napata shida ya huyo binadamu wa nchi gani anaweza kuwa na matatizo yayajui sio kwangu tu ya ndio tabia yake hata kwa rafiki zake wengine
Wengine malezi walioyapata wakiwa utotoni,kama hakufundishwa kushukuru akiwa mdogo huwezi kumrekebisha akiwa mkubwa,ataona kama unampangia sheria kumbe ndo uungwana
 
Kupenda ni upofu wahenga walisema
ukizidi sana utaitwa mjinga kama sio zoba.maana utakuwa Tayari kuyaharibu maisha yko mwenyew kwaajili ykunenepesha maslahi yamtu asiyejali utu wako
 
acha kujifariji ..mwanamke akiwa akuhitaji huwa anaonyesha kutokukujali hata kwa neno ASANTE
Tabia kusema asante nijuavyo hata kama mtu amekukataa ukimpa kitu atasema asante so nakataa kama linausiano na kupenda
 
Tabia kusema asante nijuavyo hata kama mtu amekukataa ukimpa kitu atasema asante so nakataa kama linausiano na kupenda
SHAURI YAKO ...endelea kuamini unachkiamini mkuu..umetoa hoja ukiomba ushauri kisha washauriwa lakini bado wapinga mawazo ya washauri
ambao kwa mujibu wako umetuita wazoefu
aiseeeee kweli ukiwa zoba wakupnda unakuwa zoba tu ..khaaa
 
Tenda lolote jema mnunulie nguo mpetumie pesa uwezi kusikia wala kukutumia text ya asante huu ugonjwa tatizo lake nini hebu wenye uzoefu waje waseme kitu
Unachunwa MKUU huyo hana future na wewe
 
Tenda lolote jema mnunulie nguo mpetumie pesa uwezi kusikia wala kukutumia text ya asante huu ugonjwa tatizo lake nini hebu wenye uzoefu waje waseme kitu
Bora huyo mkuu
Kuna ambao anakosea yeye
Alafu wewe ndio unaomba samahani
Hatari sana hao
 
Wazoefu wa nn sasa mkuu,wakutokusema ahsante au wale ambao hawashukuriwi baada ya kutoa kitu...!?
 
Back
Top Bottom