Mtu asiyeshukuru dawa ni kutompa akihitaji!Tenda lolote jema mnunulie nguo mpetumie pesa uwezi kusikia wala kukutumia text ya asante huu ugonjwa tatizo lake nini hebu wenye uzoefu waje waseme kitu
Tenda wema nenda zako.......Tenda lolote jema mnunulie nguo mpetumie pesa uwezi kusikia wala kukutumia text ya asante huu ugonjwa tatizo lake nini hebu wenye uzoefu waje waseme kitu
Umeshawahi kutenda wema mpaka ukakosa nguvu za kwenda zako?Tenda wema nenda zako.......
la sivyo uache kuforce mambo mkuu, utakuwa haupo moyoni mwake ila wewe unajipendekeza kwa vizawadi
Huwa inafikia point of no return unaamua tu sasa nimefika mwisho.Umeshawahi kutenda wema mpaka ukakosa nguvu za kwenda zako?
Bado hujapendaHuwa inafikia point of no return unaamua tu sasa nimefika mwisho.
Nguvu zangu uwa zinanirudia na kusepa
Mfundishe awe anakutamkia maneno romanticTena kuna wasichana watu utumia neno sio romantic nafikili ndio hao
kwani tafasiri ykupenda nikuwa mjinga kwa mtu pasipo kuipa nafasi akili ktk maamuzi yko ??Bado hujapenda