Msichana aongoza kwa ufaulu UDSM (4.8 GPA), Ana ndoto za kuja kuzaa watoto wasiopungua 7

Kama kawaida kale kaudhaifu ka kutumia mkorogo nae kamempitia japo kitaaluma anatisha
 
madada ndio wanaopiga GPA kubwa kwa vyuo vyetu hapa Tz, sisi tuliopitia ktk vyuo hivyo tunajua maana yake,na wanatokea ktk hizi course za ajabu ajabu hizi.
 
Nampongeza sana Doreen, ila kwa upande wa hawa roll model wake, sina uhakika sana kama wamefanikiwa/wamefika hapo kwa ufaulu wao katika masomo, nafikiri ni fursa zaidi, hivyo yeye bado anaweza akawa tofauti na hao. Pia ni vizuri mafanikio ya kisiasa ya Tanzania ayatupie jicho la pili asije akajiharibia mtiririko na mpangilio wa maisha.
 
madada ndio wanaopiga GPA kubwa kwa vyuo vyetu hapa Tz, sisi tuliopitia ktk vyuo hivyo tunajua maana yake,na wanatokea ktk hizi course za ajabu ajabu hizi.

Mkuu kumbe umepıta vyuo vıngı bongo!mı nılıkuwa sjuı kama vyuonı kuna koz za ajab ajab na zısızo kuwa maana,mı naamın kıla koz ına maana ndıo maana kuna madokta,maınjınıa,walımu,wahandısı,madereva,wanamzıkı,sasa sjuı hzo koz za maana nı koz gan?ınamaanısha hata hao wanaodesıgn hzo koz hawana akıl,hv ınakuaje bıntı afaulu O level one poınt 9 na Form 6 one 4 harafu useme amesoma koz ya ajab,sasa sjuı wewe umesoma koz gan ya maana?na hyo koz ya huyo bıntı ulıshaısoma ukaıona ya ajab ajab na haına maana?mkuu walıopıta udsm mtu akıpata gpa 4.8 huyo sıo wa kawaıda awe amesoma koz yoyote kuanzıa socıology,pspa,economıcs,bcom hıyo nı nadra kutokea
 
mbona yule mkaka hamumsemei wakat walopata hyo gpa walikuwa wawili

Gender equity ni pale unapoipromoti moja sana kuliko nyingine na hasa ya ke hapo ndo unapata sasa kwamba umebalance ..teh teh teh! anway nirudi kwenye mada,nakupongeza nyote wawili lakini hata yule ambaye wamembagua kumtaja na nikukumbushe tu kwamba kuzaa watoto wengi na wa kutosha ni sehemu ya tamaduni zetu Afrika na tujivunie hilo kwani sie ni waafrika na si wazungu,na mtu azae tu idadi ya watoto wa kumtosha alimradi anao uwezo wake wa kuwatunza sioni shida iko wapi hata kama ni10 ..great!
 
Back
Top Bottom