Msichana anavyokuomba vocha au hela punde baada ya kumtongoza humaanisha nini?

Msichana anavyokuomba vocha au hela punde baada ya kumtongoza humaanisha nini?

Joined
Jun 3, 2025
Posts
94
Reaction score
144
kuna binti nimemsaundisha jana,akanigea namba yake ya whatsaap,leo tumeanza kuchat whatsaap ghafla bin vuu ananiomba vocha,nikamtumia ya book,hii jioni nakuta anasema kama nna elfu tano nimuazime annunue umeme.

WAKUU hivi ni mbinu ya kunifukuza au ndo ananipima au?

1749994658118.jpg
 
kuna binti nimemsaundisha jana,akanigea namba yake ya whatsaap,leo tumeanza kuchat whatsaap ghafla bin vuu ananiomba vocha,nikamtumia ya book,hii jioni nakuta anasema kama nna elfu tano nimuazime annunue umeme.

WAKUU hivi ni mbinu ya kunifukuza au ndo ananipima au?
Ni Dalili ya Kwanza ya kukudharau na huonesha hajavutiwa na wewe. Hili utalielewa ukishakuwa Mhenga
 
Back
Top Bottom