Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
....unaogopa kutaja umri na alipopotelea sababu unaujua msala wa kuajiri mtoto kuwa housegirl,si eti?
..mi nikimuona ntampeleka polisi!
..mi nikimuona ntampeleka polisi!
Alaa kumbe!Ndo maana wadau wakashauri huyo mtoto aondolewe.Ulifanya la maana kumwondoa maana ni kweli ingeleta hisia fulani hasi kwenye tangazo.Picha ilikua hivi![]()
mmmmh! huwezi jua mabinti hawa wa siku hiziHuyo mbona mkubwa atarudi tu mwenyewe huenda kuna njemba limemdanganya!
ok nitaweka na miakaHuyo ni mtoto. Kuingiza mambo ya kikubwa ni kukosa hekima na busara. Kuna ajali na kupotea pia. Tatizo, tangazo halipo wazi. Nilidhani angetajwa umri na alipo potelea.
itakua vizur maana tayari taarifa zimeshafika polisi....unaogopa kutaja umri na alipopotelea sababu unaujua msala wa kuajiri mtoto kuwa housegirl,si eti?
..mi nikimuona ntampeleka polisi!
ok nimekuelewaAlaa kumbe!Ndo maana wadau wakashauri huyo mtoto aondolewe.Ulifanya la maana kumwondoa maana ni kweli ingeleta hisia fulani hasi kwenye tangazo.
Asante kwa kusumbuka kunijulisha jinsi picha ilivyokuwa mwanzoni kabla ya kuibadilisha. Ulichofanya ni nadra sana hapa jf, ukiulizia kitu jibu utakalopata ni mzaha au kashfa!
asante sana>> poleni saana WAPOTEWA hii ni HATARI kwa MABINT ZETU >>>
alikua hana simuPole, ila huyo mbona mkubwa?
anzieni kwenye mitandao
1 alikuwa anatumia line gani?
hapo mtajua contacts zake, na facebook
na kwa kutumia Polisi wataweza kupata data za mawasilino ya cmu yake na watu wengine
kama alikuwa hana cmu basi atarudi tu.
Naam hata juzi kati nilienda kwenye yale maeneo nikawakuta wa umri huuAisee kama ni wa huko Bk nina wasiwasi......
Kenda kutafuta maisha Mulushaka huyo.Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ana miaka 16 ametoweka ghafla nyumbani yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186![]()
asantePole sana
kiujumla hajafanyiwa kitu chochote kibaya na picha hiyo sio ya muda mrefuTaarifa haijakamilika, toa picha yake full na maelezo ya kushiba. Ila kama mnawatesa watoto siku hizi wanapata misaada popote hata kwa nauli ili warudi makwao. Nina ushahidi wa watoto zaidi ya watano wakilalamika wanateswa na watu wanaowatumikia.....na wakichoka huwa wanafikia hatua za kuamua lolote!.....kama kapotea tutasaidiana kumtafuta ila weka taarifa zake kamili, umri wake, ulikuwa unaishi naye wapi?, mara ya mwisho ulimfanyia tukio gani?, kama utakumbuka mavazi aliyovaa, na ametoroka lini?, hiyo picha ni ya hivi karibuni au ya zamani? Maana wengine hujipodoa hadi kubadilika kabisa, na taarifa zingine utakazozikumbuka
Sawa, akionekana Utajulishwa tuombe apatikane akiwa mzima maana siku kutoweka ghafla ni ishara mbaya sana!kiujumla hajafanyiwa kitu chochote kibaya na picha hiyo sio ya muda mrefu