OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Inawezekana akawa na Ben??ok poa nitafanya hivyo
Inawezekana akawa na Ben??ok poa nitafanya hivyo
sawa ila kama una magroup ungenisaidia kushareTangazo halijakaa sawa,pia angetangaza pia Magruop ya whatsapp
mmmInawezekana akawa na Ben??
Haka kablack beuty jamaa wameoa kabisa.... hata ningekuwa mimi ningetorosha tu tena kawe bikira na weusi ule daaah.Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ametoweka ghafla nyumba yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186![]()
Picha ilikua hiviKumbe pc yangu inanidanganyaga! Kwenye picha namwona tu msichana anayediwa kupotea sioni mtoto mdogo.
Anyway, huyo msichana ni mkubwa na..................
he Fb tena!!Atakuwa ameenda fb uyo kajalibu kumtafuta
Mngemtoa mtoto pichan itaonekana kaiba mtoto akatoweka nae.
Hapana inabidi picha iwepo kurahisisha upatikanajiok poa nitafanya hivyo
dah! naomba tu arudi salama kabisaHaka kablack beuty jamaa wameoa kabisa.... hata ningekuwa mimi ningetorosha tu tena kawe bikira na weusi ule daaah.
mmm! sijajua maana wasichana hawa ni hatar tupuIsiwe yuko mahali anapigwa miti
Mh! Kwa umri huo, katoweka au katoroshwa?Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ametoweka ghafla nyumba yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186![]()
Duuu siku tutakuwa serious kwenye mambo ambayo hayahitaji utani ndio ndoto ya Tanzania ya viwanda itatimia ,vinginevyo sijuiAtakuwa ameenda fb uyo kajalibu kumtafuta
Unahisi wale wadada wa kihaya wammteka wamfundishe kazi?Aisee kama ni wa huko Bk nina wasiwasi......
oky poa nduguMh! Kwa umri huo, katoweka au katoroshwa?
Piga ripoti kituo cha polisi halafu fuatilia kwa marafiki zake polepole, waweza kupata hata fununu ya kuanzia.
Nakuomba ufanye bila "pressure".
Umri wa mihemuko una misukosuko mingi sana ya kupitia mkuu.
oky asanteHumu ndani kuna watu wana majibu ya ki k k kweli.poleni sanaa.mtampata tu.
nitashukuru saaana akipatikanaNikimuona ntakupgia cm