Msichana anatafutwa amepotea

Msichana anatafutwa amepotea

Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ametoweka ghafla nyumba yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186
58ff150e9055809dd6fd6a0ab3aa33f6.jpg
Haka kablack beuty jamaa wameoa kabisa.... hata ningekuwa mimi ningetorosha tu tena kawe bikira na weusi ule daaah.
 
Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ametoweka ghafla nyumba yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186
58ff150e9055809dd6fd6a0ab3aa33f6.jpg
Mh! Kwa umri huo, katoweka au katoroshwa?
Piga ripoti kituo cha polisi halafu fuatilia kwa marafiki zake polepole, waweza kupata hata fununu ya kuanzia.
Nakuomba ufanye bila "pressure".
Umri wa mihemuko una misukosuko mingi sana ya kupitia mkuu.
 
Mh! Kwa umri huo, katoweka au katoroshwa?
Piga ripoti kituo cha polisi halafu fuatilia kwa marafiki zake polepole, waweza kupata hata fununu ya kuanzia.
Nakuomba ufanye bila "pressure".
Umri wa mihemuko una misukosuko mingi sana ya kupitia mkuu.
oky poa ndugu
 
Huyo ni mtoto. Kuingiza mambo ya kikubwa ni kukosa hekima na busara. Kuna ajali na kupotea pia. Tatizo, tangazo halipo wazi. Nilidhani angetajwa umri na alipo potelea.
 
Back
Top Bottom