Msichana akizaa uzuri unaongezeka

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,771
Reaction score
4,491
Hii tetesi ina ukweli?
Mdada akizaa uzao wa kwanza, kama ni mrembo, urembo unaongezeka na kama sio mrembo ndiyo anakuwa mrembo.

Lol my miss chagga....sipati picha.
 
Yote yawezekana kuna kuwa mrembo ukiweza kumaintain mwili kuna kuwa kifutu tumbo huku nyonyo kule kama ni mtu wa kufakamia misosi....

na nyonga zinalainika sana.
 
Kuna ukweli katika isee . Kuna mdada mmoja alikuwa figureless kabisa ila kazaa du huwa namwangalia hadi anajistukia naishia kumsifia tu du. Huwa nafauduje kwa macho.
 
Kuna ukweli katika isee . Kuna mdada mmoja alikuwa figureless kabisa ila kazaa du huwa namwangalia hadi anajistukia naishia kumsifia tu du. Huwa nafauduje kwa macho.

ni kweli mkuu, tena kama ni miss akizaa anaonekana mupya kabisaa...
 
kaukwel kapo hivi maana nawaona wengi wanang'aaaa hadi raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…