Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,192
- 2,459
Nife kisa penzi? Oteee wapo wengi mnoo oteee
Gari ikitumika sana hailipi!
Nife kisa penzi? Oteee wapo wengi mnoo oteee
sijajua umemaanisha nini, Ila usifike mbali kote hukohuu mwaka nuksi tupu na tuna minne mbele.
swissme
haya mapenzi eenh ni kitu gani eeenhkabla hujapenda,jiweke tayari kwa lolote na ukabiliane nalo kwa namna yeyote ila si kutoa uhai wako ambao Mungu amekupa utimize kusudi kubwa ulilolitegemea.
ha ha ha wataka kusema nini sasaLabda alikopa benki.
Dar...Inategemea na aina ya mpenzi...Kuna elimu bure...kilimo kwanza...Nife kisa penzi? Oteee wapo wengi mnoo oteee
ha haha yote hayaniui mwenzio .. nilishapendaga wakati huo kama chizi hadi alikuwa ananipa mapenzi ya kimkataba siku niliyofunguka na kumpa kibuti duh moyo ukawa butu na kuahimshiamapenzi kwenye pesaDar...Inategemea na aina ya mpenzi...Kuna elimu bure...kilimo kwanza...
DuDah....tisa bana....usiwe na pupa...endelea kunywa mtori..nyama zipo chini
Dar es Salaam. Msichana Redna Raphael (19) jana alinusurika kifo baada ya kujirusha kutoka ghorofa ya saba katika jengo la Harbour View Tower, maarufu J.M. Mall lililopo katika makutano ya Mtaa wa Samora na Barabara ya Morogoro, jijini Dar es Salaam.
Redna ambaye ni mfanyakazi wa Kampuni ya Usangu Logistics Ltd yenye ofisi zake ndani ya jengo hilo, inadaiwa alichukua uamuzi huo muda mfupi baada ya kuzungmza na simu ya mtu ambaye bado hajafahamika wanahusiana vipi.
Hata hivyo, binti huyo alinusurika baada ya kuangukia kwenye moja ya mabomba yanayotoa moshi kwenye jenereta ya jengo hilo, lililopo ghorofa ya kwanza ambako walinzi wa jengo hilo walimuokoa.
Meneja wa Kampuni hiyo ya Usangu, Mazar Dadkarim alisema wakati tukio likitokea hakuwapo ofisini, bali alipatiwa taarifa na wafanyakazi wenzake waliokuwa ofisini.
anafanya kazi sasa kisa cha kujitoa moyo ni niniBuzi limekata kamba..!
Dah....ha haha yote hayaniui mwenzio .. nilishapendaga wakati huo kama chizi hadi alikuwa ananipa mapenzi ya kimkataba siku niliyofunguka na kumpa kibuti duh moyo ukawa butu na kuahimshiamapenzi kwenye pesa
Pole sanaHatari Sana, ukiona mtu anafikia maamuzi hayo wala usimlaumu kabla..
Juzi Nimeibiwa pikipiki yangu msikitin segerea ina siku nne tu toka niinunue.ilikuwa Ndo maisha yangu.Nilipagawa karibu nice. Mpaka sasa cjaiona