miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
Napenda vingine vyake si yeyeKwani wote umewapenda kama huyo uliyempenda,,?
Si umempenda uliyempenda mmoja,,?
Napenda vingine vyake si yeyeKwani wote umewapenda kama huyo uliyempenda,,?
Si umempenda uliyempenda mmoja,,?
Duh.. Pole sana.. Mi mwenyewe nilinunua gari ya biashara ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja.. Nilidataje? Paka leo niko juu ya mawe sijasimama tena.. Haya maisha haya!Hatari Sana, ukiona mtu anafikia maamuzi hayo wala usimlaumu kabla..
Juzi Nimeibiwa pikipiki yangu msikitin segerea ina siku nne tu toka niinunue.ilikuwa Ndo maisha yangu.Nilipagawa karibu nice. Mpaka sasa cjaiona
Kamba imekatikia pabaya,,Buzi limekata kamba..!
Hatari Sana Mkuu, unaweza pata uchizi wa ghafla. Pole Sana nduguDuh.. Pole sana.. Mi mwenyewe nilinunua gari ya biashara ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja.. Nilidataje? Paka leo niko juu ya mawe sijasimama tena.. Haya maisha haya!
Sio minne wewe,bado miaka 9. We vp...?huu mwaka nuksi tupu na tuna minne mbele.
swissme
Comment imenifikirisha hii!Napenda vingine vyake si yeye
Huyo bado hakitambui, ana miaka 19 hajatapeliwa. Alafu akasome bado mdogoNife kisa penzi? Oteee wapo wengi mnoo oteee
Hatari Sana, ukiona mtu anafikia maamuzi hayo wala usimlaumu kabla..
Juzi Nimeibiwa pikipiki yangu msikitin segerea ina siku nne tu toka niinunue.ilikuwa Ndo maisha yangu.Nilipagawa karibu nice. Mpaka sasa cjaiona
Pole sana ....Hatari Sana, ukiona mtu anafikia maamuzi hayo wala usimlaumu kabla..
Juzi Nimeibiwa pikipiki yangu msikitin segerea ina siku nne tu toka niinunue.ilikuwa Ndo maisha yangu.Nilipagawa karibu nice. Mpaka sasa cjaiona
Nilinunua Dyna clipper mpya ya abiria, barabara niliyokuwa nimeipeleka huko Bush ikaleta mtafaruku eti kuna watu wakaanza kusema hawaitaki kwenye njia ile. Aise haikuchukuwa siku mbili gari ikaungua Gaskets gafla, nikiwa naivuta kuipeleka garage jamaa mmoja kaja kuigonga tena gari yangu na board nayo ikabondeka. Yaani biashara ya gari mpaka mwenyewe usimamie kwa karibu, hawapendi cc wa ofc Za umma kwenye industry hiyo utafilisika bure. Maana fitina na figisu kibao. Yaani mkopo unanihuma hadi leo nalipa wkt gari halinilipi.Duh.. Pole sana.. Mi mwenyewe nilinunua gari ya biashara ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja.. Nilidataje? Paka leo niko juu ya mawe sijasimama tena.. Haya maisha haya!
Ahsante Mkuu kibaya zaid nilikuwa bado cjaikatia bima. Aiseee inaniuma saaaana asikwambie mtuPole sana ....
Ha ha ha mafundi wapo wachache ujue..Nife kisa penzi? Oteee wapo wengi mnoo oteee
Pole nduguAhsante Mkuu kibaya zaid nilikuwa bado cjaikatia bima. Aiseee inaniuma saaaana asikwambie mtu