Msichana ajirusha kutoka ghorofa la saba

Nadhani atakuwa alipewa mistari ya FA......kwani ina tv ndani

duuh bado yupo na akil ya kupenda karne hiiii!!!


[HASHTAG]#angels[/HASHTAG] on the way to destroy....

Kuna pimbi wanataka na mitano mingine, labda ya ndotoni

Mapenziiiii

Nilinunua Dyna clipper mpya ya abiria, barabara niliyokuwa nimeipeleka huko Bush ikaleta mtafaruku eti kuna watu wakaanza kusema hawaitaki kwenye njia ile. Aise haikuchukuwa siku mbili gari ikaungua Gaskets gafla, nikiwa naivuta kuipeleka garage jamaa mmoja kaja kuigonga tena gari yangu na board nayo ikabondeka. Yaani biashara ya gari mpaka mwenyewe usimamie kwa karibu, hawapendi cc wa ofc Za umma kwenye industry hiyo utafilisika bure. Maana fitina na figisu kibao. Yaani mkopo unanihuma hadi leo nalipa wkt gari halinilipi.

Ange kufa tu
 
inawezekana pia waliahidiana kuoana jamaa akamtosa...ni ujinga tu, wewe ujiuwe utapata faida gani? Utatupwa kwa mwandani Ilhali mshkaji anakula life mtaani hana habari na wewe....
 
Hatari Sana, ukiona mtu anafikia maamuzi hayo wala usimlaumu kabla..
Juzi Nimeibiwa pikipiki yangu msikitin segerea ina siku nne tu toka niinunue.ilikuwa Ndo maisha yangu.Nilipagawa karibu nice. Mpaka sasa cjaiona
Pole sana mkuu, ninakusoma katika feelings.
 
Mimi mwenyewe nafikiria cha kujifanya maana haya mambo hayana mmoja
 
Back
Top Bottom