Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Vijana mjihadhari pombe mtumie kwa kiasi mtapata matatizo kama ya mwenzenu Kanumba. Au mmebaki na utanzania kwamba mkimpenda mtu basi anakuwa ni msafi kwa kila kitu especially akishakuwa amekufa. Najua watu wengi wana story nyingi za Lulu ule ulikuwa ugomvi wa ndani ebo, muwasihi wasanii na watu wengine kilevi kikizidi sio kizuri.