luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,023
- 21,267
Mtu kama hakumlilia mmewe. Chezea yupo busy kupost instaMfiwa alipokuwa akijisikia kulia alikuwa anakimbilia chumbani,ili asipingwe picha.
Mtu kama hakumlilia mmewe. Chezea yupo busy kupost instaMfiwa alipokuwa akijisikia kulia alikuwa anakimbilia chumbani,ili asipingwe picha.
Hlo jina khaaaNasikia kile kiumbe Mrisho Rambirambi Gambo kimeelekea huko,wasiwasi wangu ni rambirambi,msiba wa watoto lucky vicent tulisikia mengi
Kwani wana uhusiano zaidi ya urafiki baada ya zari kuja dar? Au unataka kunambia ni ndugu yake? Namjua ritha tunatokea sehemu moja so hakuna cha zaidi tofauti na urafiki wa hapa mjini.Unajua uhuasiano wa Madam Ritha na Zali? Ungekua unaujua usingeshangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana uhusiano gani Mkuu tujuze. Nilidhan madam Ritha mnyarwandaUnajua uhuasiano wa Madam Ritha na Zali? Ungekua unaujua usingeshangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine kwenye misiba yetu watu wanalia sio wanamlilia marehemu bali life without marehemu itakuaje hasa kama anawaacha hawana mbele wala nyuma...msiba ukiwa na support ya watu mbalimbali (jamii) huwa kidogo inatia faraja though kuna situation hasa jeneza linaposhushwa kaburini wengi hushindwa kuvumilia na kuanza kuliaMtu kama hakumlilia mmewe. Chezea yupo busy kupost insta
Nami pia nasubir jibu
aiseeKama akipewa dushe anapiga kelele iweje mamaake alomzaa
Nyie mnaotaka zari alie kwa kelele na mwano
Zari sio mnyakyusa
Nyie mnaotaka zari alie kwa kelele na mwano
Zari sio mnyakyusa
AhsanteKwani wana uhusiano zaidi ya urafiki baada ya zari kuja dar? Au unataka kunambia ni ndugu yake? Namjua ritha tunatokea sehemu moja so hakuna cha zaidi tofauti na urafiki wa hapa mjini.
Ni kwamba madam ritha ana utu amelia maana yupo emotional yaan ukiona mtu analia anawaza yangemkuta yeye inakuwaje. Hata mm nina machozi ya karibu naweza kuona kitu kwenye tv nijikute nishalia machozi balaa .so ndo hivyo hakuna jipya
Nyie mnaotaka zari alie kwa kelele na mwano
Zari sio mnyakyusa