Labda usawa, au mbwembwe tu..Hapo ndipo ujuwe kufuata dini za watu ni shughuli, wenyewe inakuja natural, wanawake kivyao na wanaume kivyao...Kama vile sala ziko tofauti?!mbona wanaswali na wanawake?
Mfiwa alipokuwa akijisikia kulia alikuwa anakimbilia chumbani,ili asipingwe picha.Madam ritha unalia mfiwa kavu.
R.I.P mkade wafee.
DuuuhNasikia kile kiumbe Mrisho Rambirambi Gambo kimeelekea huko,wasiwasi wangu ni rambirambi,msiba wa watoto lucky vicent tulisikia mengi
Anaogopa make up itatoka tuone uumbaji wa Mwenyezi Mungu na si uumbaji wa make up! Zari ni mwanamke wa ajabu Hii dunia ina mambo banduguuuuuu khaaaa uso uwe na haya kidogo chaaaa! RIP bibi Tifa.Mfiwa alipokuwa akijisikia kulia alikuwa anakimbilia chumbani,ili asipingwe picha.
Unajua uhuasiano wa Madam Ritha na Zali? Ungekua unaujua usingeshangaaMadam ritha unalia mfiwa kavu.
R.I.P mkade wafee.