wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 144
aliua na yeye kauwa,je anazikwa kwa taratibu za kidini?
nitaishangaa dini ya kikristo kama na wachungaji/maaskofu wataenda hapo kisa wanakuja viongozi
M/kiti ccm mkoa shy bwana mgeja,waziri wasira, mkiti ccm mwanza anton dialo hajahudhuria wala mwakilishi wake. Labda amebanana na majukumu heshima kwake msiba watoto aliyeuwawa mabina alikuwepo