Kumekuwa na uitikio mdogo wa wananchi hasa baada ya kuwepo na uoga kufuatia kukamatwa kwa baadhi ya watu wengi wanaokisiwa kufikia 30 mpaka sasa. Nipo eneo la tukio kumuaga marehemu. Wamehudhuria viongozi wa kisiasa na kiserikali. Yupo waziri magufuli, rpc,rc. Wakuu wa wilaya na wengine mbalimbali
Kumekuwa na uitikio mdogo wa wananchi hasa baada ya kuwepo na uoga kufuatia kukamatwa kwa baadhi ya watu wengi wanaokisiwa kufikia 30 mpaka sasa. Nipo eneo la tukio kumuaga marehemu. Wamehudhuria viongozi wa kisiasa na kiserikali. Yupo waziri magufuli, rpc,rc. Wakuu wa wilaya na wengine mbalimbali
RPC ameenda kumzika mtu aliyeamua kujichukulia sheria mkononi
Hivi aliyeuwawa na marehemu Mabina mbona haoungelewi kabisa ana title gani huyo mtu? Nadhani marehemu Mabina ana kesi ya kujibu pia.
hapa ndo tutapata jibu kwamba tunaishi ktk ulimwengu wa namna gani
Weka picha tuone tulioko mbali tuone na sisi
aliua na yeye kauwa,je anazikwa kwa taratibu za kidini?
Yule aliuwawa HAKUJIUA hivyo kufanyiwa taratibu za kidini inawezekana,ila kama angekuwa amejipiga risasi mwenyewe kufanyiwa taratibu za kidini inakuwa utata..Hilo ndo jibu nililopewa na kiongozi mmoja wa dini
Leo kauawa mabina kesho atauawa mtu wa CDM nataka muendeleee kucoment ujinga wenu huuu huuu,nafurah sana kusikia tuhuma za Polic kwenye Kifo cha mchumia tumbo D Mwangosi
nitaishangaa dini ya kikristo kama na wachungaji/maaskofu wataenda hapo kisa wanakuja viongozi
Huyu kampiga risasi mtoto wa miaka 12,viongozi wa dini waliomzika wamepotoka.