wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 144
Kumekuwa na uitikio mdogo wa wananchi hasa baada ya kuwepo na uoga kufuatia kukamatwa kwa baadhi ya watu wengi wanaokisiwa kufikia 30 mpaka sasa. Nipo eneo la tukio kumuaga marehemu. Wamehudhuria viongozi wa kisiasa na kiserikali. Yupo waziri magufuli, rpc,rc. Wakuu wa wilaya na wengine mbalimbali