V v4c Member Joined Oct 19, 2012 Posts 17 Reaction score 3 Apr 1, 2013 #1 Wakuu, Machi 29 niliweka habari hapa ya kuomba msaada wa kujua Daktari Bingwa ambaye angeweza kuwa msaada kumtibu baba yetu - https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/425631-msaada-wa-daktari-bingwa.html?highlight=. Nasikitika sana yule baba yetu huyo kafariki baada ya kumpeleka Muhimibili kwa matibabu zaidi. Tunashukuru sana kwa mchango wenu mliotupa hapa. Asanteni. Mzee anaitwa Thobias Mlowa, ni Tegeta maeneo ya msikitini, ila ahsante sana Click to expand...
Wakuu, Machi 29 niliweka habari hapa ya kuomba msaada wa kujua Daktari Bingwa ambaye angeweza kuwa msaada kumtibu baba yetu - https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/425631-msaada-wa-daktari-bingwa.html?highlight=. Nasikitika sana yule baba yetu huyo kafariki baada ya kumpeleka Muhimibili kwa matibabu zaidi. Tunashukuru sana kwa mchango wenu mliotupa hapa. Asanteni. Mzee anaitwa Thobias Mlowa, ni Tegeta maeneo ya msikitini, ila ahsante sana Click to expand...
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 24,940 Reaction score 26,796 Apr 1, 2013 #2 Pole sana mkuu. R.I.P our baba!
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,292 Apr 1, 2013 #3 Pole mkuu. Mungu amlaze mahali pema peponi.
ThinkPad JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,844 Reaction score 236 Apr 1, 2013 #4 Pole mkuu
C COPPER JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 2,697 Reaction score 1,792 Apr 1, 2013 #5 Mkuu poleni sana, RIP Baba. Kuna taratibu gani?
Baraka Roman JF-Expert Member Joined Feb 16, 2013 Posts 692 Reaction score 262 Apr 1, 2013 #6 Mungu ampe pumziko la milele babaetu..Nanyi awape moyo wa uvumilivu Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mungu ampe pumziko la milele babaetu..Nanyi awape moyo wa uvumilivu Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
V v4c Member Joined Oct 19, 2012 Posts 17 Reaction score 3 Apr 1, 2013 Thread starter #7 COPPER said: Mkuu poleni sana, RIP Baba. Kuna taratibu gani? Click to expand... ahsante sana mkuu, msiba upo Tegeta( dar es salaam) nitakujulisha utaratibu mkuu
COPPER said: Mkuu poleni sana, RIP Baba. Kuna taratibu gani? Click to expand... ahsante sana mkuu, msiba upo Tegeta( dar es salaam) nitakujulisha utaratibu mkuu
Rjohn JF-Expert Member Joined Feb 28, 2012 Posts 613 Reaction score 128 Apr 1, 2013 #8 pole kwenu, apumzike kwa amani!
samilakadunda JF-Expert Member Joined Oct 13, 2011 Posts 1,780 Reaction score 360 Apr 1, 2013 #9 R.I.P baba yetu, mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,105 Reaction score 2,622 Apr 1, 2013 #10 Inalilahi waina ilaihi rajiuun.
omben JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 821 Reaction score 476 Apr 1, 2013 #11 Na mwanga wa milele umwangazie
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Apr 1, 2013 #12 Pole sana.... Alazwe pema baba.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 53,246 Reaction score 50,468 Apr 1, 2013 #13 Mungu awatangulie katika kipindi hiki cha majonzi, pumzika kwa amani baba
Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,359 Reaction score 2,379 Apr 1, 2013 #14 Pole sana mkuu...Bwana alitoa,bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe Jipo moyo wa matumaini katika kipindi hiki kigumu kwako
Pole sana mkuu...Bwana alitoa,bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe Jipo moyo wa matumaini katika kipindi hiki kigumu kwako
platozoom JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 9,548 Reaction score 11,517 Apr 1, 2013 #15 Pole sana Mkuu. Mungu awape Amani katika kipindi hiki kigumu.
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Apr 1, 2013 #16 pole sana mkuu.....Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi........
M Makamuzi JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 1,155 Reaction score 263 Apr 1, 2013 #17 Pole mkuu
double R JF-Expert Member Joined Oct 6, 2011 Posts 2,402 Reaction score 2,547 Apr 1, 2013 #18 Poleni sana.
L lasix JF-Expert Member Joined Mar 13, 2011 Posts 485 Reaction score 310 Apr 1, 2013 #19 Pole sana,may his soul RIP
Rock City JF-Expert Member Joined Feb 11, 2012 Posts 1,266 Reaction score 505 Apr 1, 2013 #20 Innalillah wainailaih rajiuun, poleni sana ndg na jamaa wote.