imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Ulimwengo uko kwenye majozi makubwa kwa kufariki kwa mmiliki na mtengenezaji wa bidhaa ya Apple ambazo wanatechnlojia kama computer,simu,ipod wanazijua sana bidhaa zake.
Kwa jina ni:
Steven Paul Job alizaliwa mwaka 1955
na kufariki 5/10/2011
Alitarajia tutoa sim ya iphone5 ambayo haina mfano lakini pia kabla ya kifo chake alishatoa iphone s ambapo alama yake (logo) ni apple lilong'atwa kidogo.
nenda kwny mtandao utaiona ni kama kioo.
Lakini mpaka kifo chake iphone5 haikuwa imetoka
mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
Steven Paul Job
Kwa jina ni:
Steven Paul Job alizaliwa mwaka 1955
na kufariki 5/10/2011
Alitarajia tutoa sim ya iphone5 ambayo haina mfano lakini pia kabla ya kifo chake alishatoa iphone s ambapo alama yake (logo) ni apple lilong'atwa kidogo.
nenda kwny mtandao utaiona ni kama kioo.
Lakini mpaka kifo chake iphone5 haikuwa imetoka
mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
Steven Paul Job