Msiba wa Mawazo: Rais Magufuli hata pole ya maneno imemshinda?

Tuache ushabiki hapa kiongozi amechemka jamani rais ni baba wa wotee he has to play part in all areas angemtuma ata nape nauye
 
Baada ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Geita kuuwawa na wanaosemekena vijana wa ccm wa Green
guard ungetegemea ktk hali ya ubinadamu(weka siasa pembeni) na mshikamano wa ki nchi kiongozi wa nchi angenyoosha mkono wake kuwapa pole chadema na familia ya mhusika kwa kifo cha kiongozi wao wa ngazi ya juu kabisa kanda ya ziwa na hasa ukizingatia mazingira ya kuuwawa kwake. kuna wale wanaoamini kuwa anaweza kuwa na mkono wake kwy zuio la msiba binafsi siamini hilo lakini swali ninalojiuliza kwanini hakunyanyua simu na kumpigia RPC au RC kuwaomba waachane na mambo ya aibu wanayoyafanya badala yake washirikiane nao kwa kuwapa ulinzi ??? naomba kupata maoni yako mwana JF kuhusu Rais huyu kuhusiana na issues za kujenga mshikamano, mahusiano na kutuunganisha kama nchi ktk tukio la kikatili lilogusa wengi

Awapigir sim wao kama akina nani?.....hebu mwacheni rais wetu nyinyi endeleeni na sarakas zenu...yani mnataka mtumie msiba kuonana na magufuli.....aaaaah!! kumbe bado mnapendabkwenda ikulu kinafiki halaf mkishakunywa juisi mnapangusa midomo mnarudi kuendelea kuwadanganya wananchi kama nyinyi ni bonge la wapinzani mpaka mnasababisha wengine kufa na kuumia wakiamini kuwa huo ndo ukamandaa....sasa sikien zamu hii tais mtamuona kwenye runinga na tafadhali rais wetu kipenzi tusojekukuona wala kukusikia kuwa ama umewaita ama kuzungumza nao kwa namna yoyote ile hawa wanafiki....achaa nao kabisa yaani mzee sumu huwa hainjwi....
 
Mawazo amelifanyia nini taifa mpaka apewe pole na rais!? Kwa kuvaa kwake magwanda au!? Si bora angekuwa mgambo basi angeeleweka...sasa kweli rais atoe pole kwa mvaa magwanda kwa lipi hasa!?!? Pole tutatoa sisi raia..kama hamtaki potelea mbali.
 
kwan huo msiba wa mawazo una uzito gan? labda tuanzie hapo!
mi nachojua ni kwamba chadema safar hii wamekosa cha ku-make headline that's y wakaforce msiba ku-make headline na vitu vingine visivyo na mantiki ili kusustain mashabik wenu. If so bas mmekosa ubunifu wa kisiasa na kwa mwendo huu mtafutika kweny raman mapema mno.
Na Mh. Ndoivo ka mnavoona anapiga mzigo accordingly sasa sijui mtatokea wap this term!
Ni hayo tu!
 
Raisi hawezi kuingilia mchakato wa kisheria!
Ktk ubora wake JPM aliziachia mamlaka husika zifanye kazi zake kwa uhuru, hukumu ya mahakama inaheshimiwa hadi na Mungu! hakuna jinsi Magufuli angeweza kufuta katazo la polisi kwa kuwa yeye hajui tishio lililotaarifiwa na polisi ni kubwa kiasi gani!
CCM inashutumiwa ktk hili, yeye kama mwana ccm alikubali ule usemi wa "endelea kukaa kimya kwani chochote utakachokisema kinaweza kutumika kama ushahidi mahakamani"!
Kijana usitake kutuharibia raisi wetu, mnataka akurupuke aingilie hukumu iliyopo kwa "pilato" ili mje kusema ananyima haki mamlaka nyingine kufanya kazi muanze kumuita dikteta!

Huu ndio udhaifu mkubwa wa Magufuli na katika hili kachemka sana.
 
kwan huo msiba wa mawazo una uzito gan? labda tuanzie hapo!
mi nachojua ni kwamba chadema safar hii wamekosa cha ku-make headline that's y wakaforce msiba ku-make headline na vitu vingine visivyo na mantiki ili kusustain mashabik wenu. If so bas mmekosa ubunifu wa kisiasa na kwa mwendo huu mtafutika kweny raman mapema mno.
Na Mh. Ndoivo ka mnavoona anapiga mzigo accordingly sasa sijui mtatokea wap this term!
Ni hayo tu!

Siku moja utaelewa alicholeta mtoa post
 
Baada ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Geita kuuwawa na wanaosemekena vijana wa ccm wa Green
guard ungetegemea ktk hali ya ubinadamu(weka siasa pembeni) na mshikamano wa ki nchi kiongozi wa nchi angenyoosha mkono wake kuwapa pole chadema na familia ya mhusika kwa kifo cha kiongozi wao wa ngazi ya juu kabisa kanda ya ziwa na hasa ukizingatia mazingira ya kuuwawa kwake. kuna wale wanaoamini kuwa anaweza kuwa na mkono wake kwy zuio la msiba binafsi siamini hilo lakini swali ninalojiuliza kwanini hakunyanyua simu na kumpigia RPC au RC kuwaomba waachane na mambo ya aibu wanayoyafanya badala yake washirikiane nao kwa kuwapa ulinzi ??? naomba kupata maoni yako mwana JF kuhusu Rais huyu kuhusiana na issues za kujenga mshikamano, mahusiano na kutuunganisha kama nchi ktk tukio la kikatili lilogusa wengi

mawazo sio mbunge

level yake ni katibu wa CCM JIMBO NA SI WILAYA
 
Kwani Mawazo kaifanyia nini hii nchi hadi Rais ajichoshe kutuma pole, wengine kabla ya msiba tulikuwa hatumjui kabisa
 
Mawazo amelifanyia nini taifa mpaka apewe pole na rais!? Kwa kuvaa kwake magwanda au!? Si bora angekuwa mgambo basi angeeleweka...sasa kweli rais atoe pole kwa mvaa magwanda kwa lipi hasa!?!? Pole tutatoa sisi raia..kama hamtaki potelea mbali.

hamfiki mbali nawaambia
 
Mawazo amelifanyia nini taifa mpaka apewe pole na rais!? Kwa kuvaa kwake magwanda au!? Si bora angekuwa mgambo basi angeeleweka...sasa kweli rais atoe pole kwa mvaa magwanda kwa lipi hasa!?!? Pole tutatoa sisi raia..kama hamtaki potelea mbali.

Inaelekea unachuki sana juu wapinzani.Nenda kajisomee upate kuelewa upinzani siyo uadui.Huyu pia alilifanyia Taifa kazi kubwa sana ya kufundisha wanafunzi ambao ni watanzania na wapo mitaani.Pili ni mtanzania na binadamu kama ilivyo kwa mwanaCCM.

Hivi wale waliouawa UFARANSA wameisaidia ninin Tanzania???Kwa hiyo tunaona mzungu ni binadamu kuliko Mtanzania mwenzetu???

Any inawezekana aliyetuma ni mwenye chuki na Marahemu maana hata account yenyewe ni ya Jamii fulani ya wati fulani yaani a sharing account.

Nenda nje utoe mawazo yako kama individual,usitoe mawazo ya kukariri.
 
Good point Sijali
Rais wa nchi ktk spirit ya utaifa lazima uwe tayari kuweka siasa pembeni na hasa kama ulivyosema mazingira ya kifo chake. hakuna aliyesema ampigie simu pole Mbowe lakini hata wafiwa baba au mkewe kumbuka kichama huyu alikuwa kiongozi mkubwa na ameuwawa na wanaosemekana wafuasi wa chama chake hilo pekee linafaa kumsukuma mtu siyo kutoa pole kwa familia na pia kutoa tamko zito kuhusu kuwasaka na kuwafkisha mahakamani wausika wote. kwa kweli kwenye tukio hili Magufuli amechemsha ile spirit yake ya maendeleo hayana vyama sikuiona na alivaa u ccm zaidi kuliko utanzania/ubinadamu.

Si kazi ya magufuri kuwasaka au kutoa tamko,, polisi watafanya kazi hiyo. sikupenda mawazo kuuwawa, ila sioni sababu ya raisi kutolea mtamko kila kifo cha mtanzania. juzi takbir imeua zaidi ya watu 30,, uliona raisi katenga msiba kwa Taifa! Mawazo ni kama yeyote mtanzania, kama unamwona mkubwa katika chama, viongozi wa chama husika walifika kutoa heshima.
 
kwa itikad za vyama tz tunaelekea kubaya aisee.....lakn naamin mungu yupo na kwa wanenao mabaya kwa walofikwa na umauti pigo lenu liko njian laja.....jiangalieni sana watz hali itakua mbaya sana pale ambapo ww yatakukuta ila kwa kua yapo kwa mwenzio ni rahis sana......let us wait ze gamee.....r.i.p wale ote walouwawa kikatili from any party.....
 
Inaelekea unachuki sana juu wapinzani.Nenda kajisomee upate kuelewa upinzani siyo uadui.Huyu pia alilifanyia Taifa kazi kubwa sana ya kufundisha wanafunzi ambao ni watanzania na wapo mitaani.Pili ni mtanzania na binadamu kama ilivyo kwa mwanaCCM.

Hivi wale waliouawa UFARANSA wameisaidia ninin Tanzania???Kwa hiyo tunaona mzungu ni binadamu kuliko Mtanzania mwenzetu???

Any inawezekana aliyetuma ni mwenye chuki na Marahemu maana hata account yenyewe ni ya Jamii fulani ya wati fulani yaani a sharing account.

Nenda nje utoe mawazo yako kama individual,usitoe mawazo ya kukariri.

Ivi wew bwana unataka ndugu zako wakifa nao wapewe pole na magufuli...ivi misiba mingapi inatokea na watu hawalalamik kama nyie mabwana kuomba pole...rais anamambo mengi kama mtu keshakufaaa na mchunga ng'ombe wenu kahudhuria basi inatosha
 
Back
Top Bottom