Baada ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Geita kuuwawa na wanaosemekena vijana wa ccm wa Green
guard ungetegemea ktk hali ya ubinadamu(weka siasa pembeni) na mshikamano wa ki nchi kiongozi wa nchi angenyoosha mkono wake kuwapa pole chadema na familia ya mhusika kwa kifo cha kiongozi wao wa ngazi ya juu kabisa kanda ya ziwa na hasa ukizingatia mazingira ya kuuwawa kwake. kuna wale wanaoamini kuwa anaweza kuwa na mkono wake kwy zuio la msiba binafsi siamini hilo lakini swali ninalojiuliza kwanini hakunyanyua simu na kumpigia RPC au RC kuwaomba waachane na mambo ya aibu wanayoyafanya badala yake washirikiane nao kwa kuwapa ulinzi ??? naomba kupata maoni yako mwana JF kuhusu Rais huyu kuhusiana na issues za kujenga mshikamano, mahusiano na kutuunganisha kama nchi ktk tukio la kikatili lilogusa wengi
guard ungetegemea ktk hali ya ubinadamu(weka siasa pembeni) na mshikamano wa ki nchi kiongozi wa nchi angenyoosha mkono wake kuwapa pole chadema na familia ya mhusika kwa kifo cha kiongozi wao wa ngazi ya juu kabisa kanda ya ziwa na hasa ukizingatia mazingira ya kuuwawa kwake. kuna wale wanaoamini kuwa anaweza kuwa na mkono wake kwy zuio la msiba binafsi siamini hilo lakini swali ninalojiuliza kwanini hakunyanyua simu na kumpigia RPC au RC kuwaomba waachane na mambo ya aibu wanayoyafanya badala yake washirikiane nao kwa kuwapa ulinzi ??? naomba kupata maoni yako mwana JF kuhusu Rais huyu kuhusiana na issues za kujenga mshikamano, mahusiano na kutuunganisha kama nchi ktk tukio la kikatili lilogusa wengi