Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Navyojua mimi yule bwana anaitwa Milton sasa hii Mazembe sijui imekaaje!!!
Itakua Milton mazembe labda, apumzike kwa amani.
Navyojua mimi yule bwana anaitwa Milton sasa hii Mazembe sijui imekaaje!!!
Wadau naweza kupata List maana kuna demu mmoja kitaa hapa, Magomeni alikuwa anavusha nae siku anaitwa Jemima, majina mengine tafadhali.Teh teh teh heeeee hapo kwenye nyekundu loo paminivunja mbavu
Hivi huyu Mazembe Nyerere ndo yule aliyesoma CBE?white au majina yanafanana tu?naomba kujuzwa kidogo.
RIP