Mshtuko wa ugaidi, 11 wanaswa Mwanza

Naomba niulize kwa wa Tanzania maana ya ugaidi tunaelewaje? Maana USA wanasema ni MTU yeyote anayepinga maslahi yao, sasa sisi tunamaanisha nini?
Kukamata vitabu vya kiislam na kofia za jeshi kwa mujibu wa maelezo hapo
 
Ivi ni kweli vijana wawili wanaweza kuwakimbia polisi?kuuwa mumeshauwa lkn ukweli hawakustahiki kuuwawa.jela ipo kwa ajili ya watu kama hao.
uliwahi kuona gaidi anafungwa jela?dawa ya gaidi ni kumuuwa tu.
 
Ni pale utakapo kuta polisi wamechukua silaha story kwaajili ya show off
 
Mkuu na mimi nimeuliza swali kama lako maana kila siku wanalitamka sana
 
Kwani kuna silaha sio yakivita?

Mkuu zipo silaha za uwindaji wanyama mfano Rifles 375, 458 na short gun kwaajili ya ndege, zipo za kivita kama SMG, AK 47,
LMG, G3 nk mkuu wangu, na
zipo za self defence kama bastola aina tofauti kama hujui mkono
 
Kweli polisi waangalie lugha mbadala ya kutumia pengine tuendako inaweza kutugharimu, huku tukihubiri nchi yetu ya amani, mungu tuepushe na hao wachafu hao.
 
Nlijua hizi sinema zilikua 2015 kumbe hawa nao wanacheza comedy zao kma siro,unatupiana risasi vikindu ucku kucha halafu asubuhi unasema umekamata wamama n watoto kwenye hiyo nyumba.inamaa hizo risasi zilikua zinapigwa n majini mana hata bunduki moja hamkukuta,kweli siasa zinawapeleka kubaya
 
Mkuu zipo silaha za uwindaji wanyama mfano Rifles 375, 458 na short gun kwaajili ya ndege, zipo za kivita kama SMG, AK 47,
LMG, G3 nk mkuu wangu, na
zipo za self defence kama bastola aina tofauti kama hujui mkono
mkuu asante kwa ufafanuzi wako makini
 

Nachoona hizi taarifa zinajirudia sana maeneo tofauti, labda hao police wameweza kuwenda Zaidi ili kujua lengo la hawa watu? maana wanakamatwa wakiwa na style sawa. Wamefautilia na kujua kama hawa watu wana mtandao mmoja au wako scattered with different missions
 
Kuna kosa linafanyika hapa ,kati ya hao 15 wabakizwe wawili wengine piga risasi kama kazi hiyo mnaogopa fanyeni mpango wa kuni hire nitawasaidia bila tatizo
 
Daaah! Na kitabu cha kiislamu kimekutwa..
 
Samahani wakuu sina nia mbaya wala sina ubaguzi wowote wa kidini katika hili ila najiuliza kila wakati nikwanini kila jambo linalohusishwa na ugaidi utakuta dini yangu ya kiislam inahusika?
 
Hizi recruitments zinazofanyika gizani kisirisiri maporini na kwenye majumba ya watu hizi inaelekea kuna watu wanataka kufanya mambo yao na agenda zao hazitofautiani na mambo yanayoendelea huko iraq na syria.....
Mungu atusaidie
 
Mpaka hapo kagera na tetemeko lao na Arusha na TOYO zao, hadithi inaenda kuisha na mwenye akili atakuwa ameshapata ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…