Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Chadema wameshageuka Magaidi!
Kwa kuwa tu umeumbwa na kijambia , haimaanishi kwamba eti hata kikikuwasha mbele za watu ujipige PA (Per Anal), yaani ujikute.
Chadema wameshageuka Magaidi!
we kila kitu ukawa zuzu kweli wwHao ni UKAWA????![]()
Chadema wameshageuka Magaidi!
Kukamata vitabu vya kiislam na kofia za jeshi kwa mujibu wa maelezo hapoNaomba niulize kwa wa Tanzania maana ya ugaidi tunaelewaje? Maana USA wanasema ni MTU yeyote anayepinga maslahi yao, sasa sisi tunamaanisha nini?
uliwahi kuona gaidi anafungwa jela?dawa ya gaidi ni kumuuwa tu.Ivi ni kweli vijana wawili wanaweza kuwakimbia polisi?kuuwa mumeshauwa lkn ukweli hawakustahiki kuuwawa.jela ipo kwa ajili ya watu kama hao.
Mkuu na mimi nimeuliza swali kama lako maana kila siku wanalitamka sanaHivi polisi wanaelewa maana ya ugaidi au wanadhani ni kukutwa na kilipuzi tu? Wanajua ni athari gani zinazoweza kuikumba nchi kwa kutamka msamiati wa "ugaidi"?
Mimi nafikiri, kwa kuwa polisi hawana uelewa kuhusu mambo ya hujuma za kigaidi, ni bora wangepigwa marufuku kabisa kutamka hilo neno maana linaweza kuathiri hata shughuli za utalii nchini.
Kwani kuna silaha sio yakivita?
usilete siasa kwenye vitu vya msingiNaomba niulize kwa wa Tanzania maana ya ugaidi tunaelewaje? Maana USA wanasema ni MTU yeyote anayepinga maslahi yao, sasa sisi tunamaanisha nini?
mkuu asante kwa ufafanuzi wako makiniMkuu zipo silaha za uwindaji wanyama mfano Rifles 375, 458 na short gun kwaajili ya ndege, zipo za kivita kama SMG, AK 47,
LMG, G3 nk mkuu wangu, na
zipo za self defence kama bastola aina tofauti kama hujui mkono
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, linawashikilia watu 15 wakiwemo watoto 11 wenye umri wa miaka 10 wakidaiwa kufundishwa ‘ugaidi’ katika nyumba moja iliopo Kishiri nje kidogo ya jiji hilo,
Kabla ya kufika kwenye nyumba waliyokuwemo watuhumiwa, polisi walimkamata kijana mmoja kwenye Kata ya Kishiri, Wilaya ya Nyamagana ambaye alidaiwa kuhusika.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi, Ahmed Msangi amethibitisha kukamatwa kwa watu hao na kueleza kuwa, walifanikiwa kuwakamata baada ya taarifa kutoka kwa kijana huyo.
Msangi ameeleza kuwa, baada ya taarifa za kijana huyo ambaye aliyeongozana na polisi hadi katika eneo la tukio, waliwakuta watuhumiwa hao.
Amesema, watuhumiwa hao baada ya kugundua kuwa ni polisi, walirusha bomu moja jambo ambalo liliwasukuma polisi kuanza kujibu mashambulizi kwa kupiga risasi hewani na kuwamuru kujisalimisha.
Kamanda Msangi amedai kuwa, baada ya watu hao kujisalimisha, polisi walianza kufanya ukaguzi katika nyumba hiyo na kufanikiwa kukuta bunduki aina ya SMG na magazine tano zilizokuwa na risasi 150.
Ameeleza kuwa, polisi pia walifanikiwa kukamata vitabu viwili vya Dini ya Kiislamu na kofia moja ya Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Na kwamba, kitendo hicho amedai kinashabiana na vitendo vya ugaidi na matukio mengine yaliowahi kufanyika jijini humo.
“Kama mtakuwa mnakumbuka vizuri kuna matukio ambayo yalishawahi kutokea hapa Mwanza yakiwemo ya msikitini watu kuchinjwa, na watu wanaodai inaweza ikawa ndio hao wahusika,” amesema Msangi.
mmmhhhhhDaaah! Na kitabu cha kiislamu kimekutwa..