Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,359
Labda aliambiwa ajitetee
Utetezi huu wa mwaka, maana polisi hawezi kukimbiza mtu akiwa uchi anayeweza kufanya hivyo ni askari
Labda aliambiwa ajitetee
Angependeza sana angekuwa demu! GPL watatupa udaku. tusubiri tu!jinsia yake?
Hatimaye washtakiwa wakamatwa. Baada ya kukimbilia kwenye nyumba ya watu na kujifungia, wenye nyumba wakafunga mlango kwa nje na kutoa taarifa kwa polisi wa defender waliokuwa wanawafuatilia.Polisi wamewachukua na kuwarudisha mahakamani tayari kwa kwenda sero.