Mshtakiwa akimbia uchi mahakamani

Mshtakiwa akimbia uchi mahakamani

Renegade

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2009
Posts
7,346
Reaction score
7,169
Habari inayotokea sasa hivi kuna mshtakiwa anakimbia uchi kinondoni mahakamani, habari zaidi zitafuata.
 
Duh au ni kichaa?
Hiyo nayo ni njia mbadala ya kusave
 
sasa....daah.
niseme nini....acha niendelee kucheka huku nikitafakari namna mkimbiaji alivyokuwa anatazamika.
Mshitakiwa anajinsia gani, maana hii itazidisha wigo wangu wakufikiri.
 
Inasemekana walikuwa wawili , mmoja ameshakamatwa , ni taharuki hapa.Walikimbia na makopo mikononi, inasemekana ni makopo ya mavi wanawamwagia watu.
 
Labda alishtakiwa kwa makosa ya bangi/kilevi...........
 
duuh hata sitaki kucheka, labda wana matatizo ya akili
 
Vipi kengele na rungu zilivyokuwa zinapigana na mapaja, sipati picha.
 
Walikuwa watatu, mmoja amekamatwa, Ilikuwa ni sinema nzuri sana, wakati wa kupanda karandinga jamaa walikuwa wameandaa kinyesi chao, wakatoka nduki huku wanasambaza mavi, ilibidi askari wawapishe tu. Waalikuwa wanarusha kinyesi kwenye chupa za maji za uhai , nduki huku wanarusha kinyesi.
 
Hiyo ni njia muafaka ya kutoroka, kama umeshawahi kulazwa ndani halafu mawazo ya home yanakujia, utatafuta tu njia ya kusepa.

Kuna jamaa alijimwagia kinyesi halafu akala kona, hii ilitokea Moshi miaka ya 2000
 
Habari za hivi punde kutoka Kinondoni mahakamani ni kwamba:
Mahabusu watatu walijiandaa kwa kujipaka kinyesi na kubeba kingine cha ziada kwenye makopo yaliyo katwa ya uhai na wakiwa uchi. walipofunguliwa kuingia kwenye magari yao ya kurudishwa sero, wakatoka huku wamejipaka kinyesi nakingine kikirushwa! wamekimbizwa, nimeona mmoja amekwisha kukamatwa akiwa ameshughurikiwa vilivyo na Askali magereza.
 
tunasubiri more news Renegade

Hatimaye washtakiwa wakamatwa. Baada ya kukimbilia kwenye nyumba ya watu na kujifungia, wenye nyumba wakafunga mlango kwa nje na kutoa taarifa kwa polisi wa defender waliokuwa wanawafuatilia.Polisi wamewachukua na kuwarudisha mahakamani tayari kwa kwenda sero.
 
ilikuwa hatari sana mmoja nimeshuhudia kakamatwa hapa maeneo ya manyanya mtaa wa kasana,huyu alishasave kwani polisi walikuwa wanaondoka ndo kuna jamaa fundi alikuwa juu ya bati nyumba ya jirani alimwona alipojificha akawatonya polisi ndo kurudi na kumtia nguvuni
 
ilikuwa hatari sana mmoja nimeshuhudia kakamatwa hapa maeneo ya manyanya mtaa wa kasana,huyu alishasave kwani polisi walikuwa wanaondoka ndo kuna jamaa fundi alikuwa juu ya bati nyumba ya jirani alimwona alipojificha akawatonya polisi ndo kurudi na kumtia nguvuni

Pole yake sana!!!
 
Back
Top Bottom