Mshoga wa facebook

Mishobok

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
5
Reaction score
1
Kwa sasa Facebook imejaa mashoga wa kiume hali inayotia kichefuchefu kabisa .. utakuta wanawasiliana na wewe kama rafiki wa kawaida baada ya siku mbili utasikia nina hamu kweli ... ukiuliza hamu ya nini?... anakutumia picha za wanaume wanakamua tigo
then anakwambia yani kaka nakupenda sana ...inakera ...
 
Mkuu, mbona kila sehemu wamejaa hao mashoga hata humu JF hawawezi kukosa
 
umekuja na hasira kweli kweli,
karibu Jf.
 
Mh! Makubwa, dunia ya mwisho hii. Tn mwisho mwampamba!!!
 
Sikujua Fb kunawaumini wa Cameron namna hiyo
 
achana naye huyo(mblock) anayekusumbua we deal na wale unaowajua tu. Nalog off
 

mkuu nipe jina lake fasta na watafuta sana hao viumbe...sawa mkuu fanya fasta 😛oa
 
Mishobok - Pole Sana.
My number 1 rule on FB is "ALWAYS ADD THE PEOPLE YOU KNOW, RESTRICT YOUR PROFILE TO FRIENDS ONLY"..Usikubali kum-add mtu kama rafiki iwapo hufahamiani nae...matokeo yake ndio hayo!
 
kupitia fb ndo nilijua watanzania walio wengi ni mashoga
 
Jaman co facebuk hata humu jf wapo wengi wanamtindo huo.
 
achana naye huyo(mblock) anayekusumbua we deal na wale unaowajua tu. Nalog off

ushauri mzuri mzur washa, hata mimi huwa nasita sana ku-accept request za nisiowafahamu. Hata ni mvivu wa ku-add hovyo...
 
Wengine humu ni unafiki tu kutwa nzima unashinda fb uki-chat walete post ya kuponda fb na wewe uanze mbwembwe za ajabu hapa.,wanafiki wote walaaniwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…