Yeye kanunua bangalow kule Africana na kukimbilia kupost kwenye mitandao.. Wahindi wana multi-million deals hapa mjini lakini yupo National Housing. Ukimwona muhindi kajenga nyumba au kanunua aishi ujue huyo ana billions nyingi kwenye account yake..
Kama alikua anataka kukaa sehemu nzuri na usafiri mzuri million 50 pekee ingemtosha.. 21 years old kukaa kwenye jumba kama lile tena huna familia ni matumizi ya kipumbavu
kweli mkuu high return,high risk and the vise versakuna ndugu yangu mmoja alinielewesha kwanini watu wa madini wengi wao hawawezi kuinvest pesa zao kwenye vitu kama hivyo.. Sababu ni hiyohiyo, anawaza elfu 60 mpaka ije kufika million 40 (thamani ya jiwe moja ninaloweza kupata kwa dakika kadhaa) ni lini.. Mwisho wa siku wanaishia kuwa broke at their prime. Maana akishafika miaka kadhaa nguvu za kuingia tena kule mapangoni kutafuta mawe hana tena na pesa yote alikula..
Same to your story, unataka kwa million 500 yake basi afanye biashara ambayo miezi miwili au mitatu anaongeza million 500 nyingine.. Hivi akijenga frame 10 au 20 akawa na uhakika wa 600,000/- au 1,200,000/- kila mwezi atakuwa kapungukiwa nini. And that is a life time investment, tena hizo pesa anaweza kuziacha zikimultiply kwenye account yake kwa miaka na miaka bila hata kuzigusa, wakati hiyo balance iliyobaki (actually ni nyingi tu itabaki) akifanya hayo ya miti uliyosema. Mkuu ogopa sana biashara yenye return kubwa kwa muda mfupi.. Ndio hao hao watu wa madini na sembe
Kama ni banglow tena Afrikana, hyo itakuwa imeisha yote.Labda kama Salasala au Kinzudi.
He he he ukimjadili msanii kwa mambo muhimu unaitwa hater
Kiukweli inabidi atafute marafiki wenye vision na sio Hawa bongo movie wao wawewanakutana samakisamaki na club
Africana pale round about kabla hujafika Jangwani..
KWELI.WAWEZA TUMIA nyumba kama collateral security kupata hela zaid.its a best investmentThat would be a good move... Akina Donald Trump ni matajiri wakubwa duniani kwa Real Estate Business.. And the good thing baada ya kuinvest kwenye hizo nyumba una uwezo wa kukopa na kuendeleza biashara zako zingine.
Kama ni maeneo hayo nina imani hyo hela itakuwa imeisha labda km si banglow kama alivyosema mchangıaji.Maeneo hayo viwanja pekee vinakwenda hadi ml 100-150.
KWELI.WAWEZA TUMIA nyumba kama collateral security kupata hela zaid.its a best investment
Abet.
Ampe Leo cap bayen na arsenal inakuja odd 2.
Akiweka mpunga wote ni bilioni moja
Hii biashara Mkuu Steph Curry ukitulia ni biashara nzuri sana na soko lake linaweza kuwa mpaka nje ya mipaka ya Tanzania. Tumuombee afanikiwe labda siku moja anaweza kuwa na soko hata kwenye mabara mengine ya dunia yetu.
Mtoa mada Maindi yua own biznesi
Mkuu BAK ni biashara nzuri sana lakini kwa utamaduni wetu waafrika atachelewa kifika anakotaka.. Nimeshuhudia clothing line nyingi zikianzishwa zinakufa. Angalia akina Diamond na Weusi wala haiwalipi kiivo.
Lakini tusubiri tuone unaweza ikaanza kufanikiwa kupitia yeye
Sijaziona hizo pamba ni clothing line au ni T-shirts? Kutengeneza Tshirt hata 10 mill haita chukua.
Kuna ndugu yangu mmoja alinielewesha kwanini watu wa madini wengi wao hawawezi kuinvest pesa zao kwenye vitu kama hivyo.. Sababu ni hiyohiyo, anawaza elfu 60 mpaka ije kufika Million 40 (thamani ya jiwe moja ninaloweza kupata kwa dakika kadhaa) ni lini.. Mwisho wa siku wanaishia kuwa broke at their prime. Maana akishafika miaka kadhaa nguvu za kuingia tena kule mapangoni kutafuta mawe hana tena na pesa yote alikula..
Same to your story, unataka kwa million 500 yake basi afanye biashara ambayo miezi miwili au mitatu anaongeza million 500 nyingine.. Hivi akijenga Frame 10 au 20 akawa na uhakika wa 600,000/- au 1,200,000/- kila mwezi atakuwa kapungukiwa nini. And that is a life time investment, tena hizo pesa anaweza kuziacha zikimultiply kwenye account yake kwa miaka na miaka bila hata kuzigusa, wakati hiyo balance iliyobaki (actually ni nyingi tu itabaki) akifanya hayo ya miti uliyosema. Mkuu ogopa sana biashara yenye return kubwa kwa muda mfupi.. Ndio hao hao watu wa madini na sembe
Kama ni maeneo hayo nina imani hyo hela itakuwa imeisha labda km si banglow kama alivyosema mchangıaji.Maeneo hayo viwanja pekee vinakwenda hadi ml 100-150.
Sijaziona hizo pamba ni clothing line au ni T-shirts? Kutengeneza Tshirt hata 10 mill haita chukua.