Oh, hapo lazima uwe fundi wa fasihiSemegi wewe ndio umefanya nielewe, sikumuelewa nilipomsoma.
Basi sawa!Mkuu mshebebe ndio kila kitu....full stop
wakubwa mnafaidi asee watoto tukae kandoKupendana bila kufwanyana ni utoto huo, si uwapende dada zako tu sasa
HaaaaaKupendana bila kufwanyana ni utoto huo, si uwapende dada zako tu sasa
Uwanjani.inaendelea wapi huko teh
Mmh siangaliagi mpira hataUwanjani.
Najua, maana mkwe kasema we mchezaji mzuri tu.Mmh siangaliagi mpira hata
Hata kucheza sichezi. Sina interest yoyote na mpiraNajua, maana mkwe kasema we mchezaji mzuri tu.
Mmmmmmmmmmmmmmh