habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Amani iwe kwenu ma bibi na mabwana,
Hii imekuwa ikinichanganya kidogo kwa muda mrefu, naombeni kujuzwa huenda labda kutokana na uelewa wangu mdogo, au kwa vile nimezaliwa shamba na kukulia shamba.
Waungwana ili ujue kuwa huyu mtu anakupenda na yeye ajue kuwa unampenda ni lazima Mvuliane nguo? kuna watu ni wasomi tu na wanaheshimika wanadai kuwa mshebebe ndio kipimo cha upendo.
karibuni
Hii imekuwa ikinichanganya kidogo kwa muda mrefu, naombeni kujuzwa huenda labda kutokana na uelewa wangu mdogo, au kwa vile nimezaliwa shamba na kukulia shamba.
Waungwana ili ujue kuwa huyu mtu anakupenda na yeye ajue kuwa unampenda ni lazima Mvuliane nguo? kuna watu ni wasomi tu na wanaheshimika wanadai kuwa mshebebe ndio kipimo cha upendo.
karibuni