kizibo1
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 1,187
- 766
Danga zee katika ubola wakeNaona Umekuja na id nyingine, mtafuta Kiki wewe, mxiuuuuu
Danga zee katika ubola wakeNaona Umekuja na id nyingine, mtafuta Kiki wewe, mxiuuuuu
Mnuka naniliu uyo wanaume wanamkimbiaWewe unatafuta mabwana?
Uko wazi sana. Umenikumbusha hapa:Nina mchango mkubwa sana kwenye kufisha na kufifisha nyota ya chama pendwa
Nimeroga sana hapo kabla lakini mwaka huu nimeroga mpaka jasho langu likawa linanuka uchawi
Nilijenga vilinge majini
Nikajenga vilinge ardhini
Nikajenga na angali
Nimepandikiza gundu kwenye rangi za chama
Wagombea nikawatupia gundu la kinyesi..mkubwa kabisa nikampiga jini kisirani
Nimeroga wala sijisifu ..nimeroga mpaka uchawi ukanikifu
Malighafi zangu maarufu zilikuwa ni
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
Nikavaa koti la ugaguzi..walipokuja nikawapiga gundu wajumbe wakawaona kama maliwato ya jiji
Nikavaa koti la ulokole walipokuja kwa maombi nikawapiga muhuri wa upofu na kuzima nyota zao...walipojitokeza upenuni wajinadi wakakimbiwa na kuzomewa...
Nimejenga madhabahu za giza nyuani mwao
Nikajenga zingine kondeni
Na zingine kwenye mapito yao..hakuna nilipobakisha...na kila waliporudi kwangu kulalamika nikawaambia wamekosea masharti
Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Nilizikubali sana fact zako kwenye huo uzi na kamwe sikuwa na hoja ya kukupinga na hata kama ningekuwa nayo ingekuwa dhaifuUko wazi sana. Umenikumbusha hapa:
![]()
Austrian astronaut jumped from 128000 feet height from spaceship
Kwani vimondo vinapowaka moto huwa kuna effort au force?Ngoja tu nibaki na ushirikina wangu kwakuwa formula zake hazina zengwe mara fosi mara kani mara pawa...www.jamiiforums.com
@mshanar UTABILI WAKO ULITIMIA SEMA WAROHO WA KITI WALIAMUA KUUVURUGA ngoja tusubirie next projectNilizikubali sana fact zako kwenye huo uzi na kamwe sikuwa na hoja ya kukupinga na hata kama ningekuwa nayo ingekuwa dhaifu
Namie umeniroga sio?!Nina mchango mkubwa sana kwenye kufisha na kufifisha nyota ya chama pendwa
Nimeroga sana hapo kabla lakini mwaka huu nimeroga mpaka jasho langu likawa linanuka uchawi
Nilijenga vilinge majini
Nikajenga vilinge ardhini
Nikajenga na angali
Nimepandikiza gundu kwenye rangi za chama
Wagombea nikawatupia gundu la kinyesi..mkubwa kabisa nikampiga jini kisirani
Nimeroga wala sijisifu ..nimeroga mpaka uchawi ukanikifu
Malighafi zangu maarufu zilikuwa ni
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
Nikavaa koti la ugaguzi..walipokuja nikawapiga gundu wajumbe wakawaona kama maliwato ya jiji
Nikavaa koti la ulokole walipokuja kwa maombi nikawapiga muhuri wa upofu na kuzima nyota zao...walipojitokeza upenuni wajinadi wakakimbiwa na kuzomewa...
Nimejenga madhabahu za giza nyuani mwao
Nikajenga zingine kondeni
Na zingine kwenye mapito yao..hakuna nilipobakisha...na kila waliporudi kwangu kulalamika nikawaambia wamekosea masharti
Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Hongera sanaNina mchango mkubwa sana kwenye kufisha na kufifisha nyota ya chama pendwa
Nimeroga sana hapo kabla lakini mwaka huu nimeroga mpaka jasho langu likawa linanuka uchawi
Nilijenga vilinge majini
Nikajenga vilinge ardhini
Nikajenga na angali
Nimepandikiza gundu kwenye rangi za chama
Wagombea nikawatupia gundu la kinyesi..mkubwa kabisa nikampiga jini kisirani
Nimeroga wala sijisifu ..nimeroga mpaka uchawi ukanikifu
Malighafi zangu maarufu zilikuwa ni
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
Nikavaa koti la ugaguzi..walipokuja nikawapiga gundu wajumbe wakawaona kama maliwato ya jiji
Nikavaa koti la ulokole walipokuja kwa maombi nikawapiga muhuri wa upofu na kuzima nyota zao...walipojitokeza upenuni wajinadi wakakimbiwa na kuzomewa...
Nimejenga madhabahu za giza nyuani mwao
Nikajenga zingine kondeni
Na zingine kwenye mapito yao..hakuna nilipobakisha...na kila waliporudi kwangu kulalamika nikawaambia wamekosea masharti
Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Mkuu kwanini usiloge upate Ajira ya kueleweka ama ndagu ya utajiri.Ajira tu ndugu yangu ili watoto waende chooni nikipataga mishe nyingine huwa napumzika kidogo ulozi
Nitafanya hivyo inshallahMkuu kwanini usiloge upate Ajira ya kueleweka ama ndagu ya utajiri.
Hivi nikuiye shehe au nani mana duu unajua sana
Shehe wew umeshawahi kuon mtu analogwa na mtu ake wa karibu mfano mdogo wake, mama yake, au kaka yake.? Ushawhi kuona hilo au kushuhudia


Tena huo uchawi una nguvu sana halafu fukara ndio wanarogana sana..nina mifano kadha wa kadha...Tawire.. MtaalamunaIlishakamilika kwa 70%
HeeIlishakamilika kwa 70%