Mshana Witch project

Mshana Witch project

Screenshot_20220821-161939.jpg
 
M nakusihi sanaa jpo najua we ni mkubwa zaidi yangu umewahi kuliona jua kabla yangu ila m nakusihi Ushirikina hauna Rafiki,Shetani hana Rafiki wa kudumu
Mimi ni Muislamu na katika Uislamu dhambi kubwa ni Ushirikina Na atakaekufa na dhambi hii ni Motoni milele na milele

Kumbuka kua huwezi kumfurahisha Mwanadamu hta ufanyeje na aliepewa kapewa .Waswahili wanasema mpewa hapokonyeki.
 
M nakusihi sanaa jpo najua we ni mkubwa zaidi yangu umewahi kuliona jua kabla yangu ila m nakusihi Ushirikina hauna Rafiki,Shetani hana Rafiki wa kudumu
Mimi ni Muislamu na katika Uislamu dhambi kubwa ni Ushirikina Na atakaekufa na dhambi hii ni Motoni milele na milele

Kumbuka kua huwezi kumfurahisha Mwanadamu hta ufanyeje na aliepewa kapewa .Waswahili wanasema mpewa hapokonyeki.
Nini maana ya ushirikina
 
M nakusihi sanaa jpo najua we ni mkubwa zaidi yangu umewahi kuliona jua kabla yangu ila m nakusihi Ushirikina hauna Rafiki,Shetani hana Rafiki wa kudumu
Mimi ni Muislamu na katika Uislamu dhambi kubwa ni Ushirikina Na atakaekufa na dhambi hii ni Motoni milele na milele

Kumbuka kua huwezi kumfurahisha Mwanadamu hta ufanyeje na aliepewa kapewa .Waswahili wanasema mpewa hapokonyeki.
Asante sana kwa ushauri nitauzingatia
 
Mshana Jr nimesoma kila comment ya huu uzi ukweli ni kwamba hawa wanawake wanaturoga na kuna mahala kweli huyu mwanamke aliniroga amenifanya niwachukie wanawake na nikianzisha mahusiano ghafla yanayeyuka au nakosa appetite ya kuendelea naye..

Kuna kipindi aliendaga tanga akaja na kajamaa kamoja kagangaa home sikujua kamekuja kufanya nini mara nikaanza kuona kuna kapaka keusi kamefungwa kamba shingoni kakifika usiku kanatembea dirishani kwa nje sasa mimi nilikuwa nachukuwa maji nakamwagia usiku kumbe ile kukamwagia ni kama kuna kitu kilikuwa kinafanyika. Kuna siku ile nafungua boneti ya Gari nikakuta kwenye bonnet sikukatoa mimi mwanangu ndiyo alikakamata akatupa nje halafu ghafla baada ya kuvurugana ndiyo nikaja ona kikaratazi kimeandikwa kiarabu kimeninginzwa kwenye mlango ambacho sikuwa kukiona maisha nilipowatafuta waarabu ndiyo wakaniambia kimeandikwa majina yangu sijui ya kunituliza kwa hiyo kilichotokea inawezekana alikosea mashart ngoma ikamrudia yeye.

Sasa ebu fafanua kwa upana kwa niaba ya wengine hii nini Ndugu na Jinsi gani ya kutengua hii laana maake ni muda sasa ila nimetokea kumchukia vibaya mno huyu Mwanamke japo kumsahau siwezi.
 
Mshana Jr nimesoma kila comment ya huu uzi ukweli ni kwamba hawa wanawake wanaturoga na kuna mahala kweli huyu mwanamke aliniroga amenifanya niwachukie wanawake na nikianzisha mahusiano ghafla yanayeyuka au nakosa appetite ya kuendelea naye..

Kuna kipindi aliendaga tanga akaja na kajamaa kamoja kagangaa home sikujua kamekuja kufanya nini mara nikaanza kuona kuna kapaka keusi kamefungwa kamba shingoni kakifika usiku kanatembea dirishani kwa nje sasa mimi nilikuwa nachukuwa maji nakamwagia usiku kumbe ile kukamwagia ni kama kuna kitu kilikuwa kinafanyika. Kuna siku ile nafungua boneti ya Gari nikakuta kwenye bonnet sikukatoa mimi mwanangu ndiyo alikakamata akatupa nje halafu ghafla baada ya kuvurugana ndiyo nikaja ona kikaratazi kimeandikwa kiarabu kimeninginzwa kwenye mlango ambacho sikuwa kukiona maisha nilipowatafuta waarabu ndiyo wakaniambia kimeandikwa majina yangu sijui ya kunituliza kwa hiyo kilichotokea inawezekana alikosea mashart ngoma ikamrudia yeye.

Sasa ebu fafanua kwa upana kwa niaba ya wengine hii nini Ndugu na Jinsi gani ya kutengua hii laana maake ni muda sasa ila nimetokea kumchukia vibaya mno huyu Mwanamke japo kumsahau siwezi.
nilipowatafuta waarabu ndiyo wakaniambia kimeandikwa majina yangu sijui ya kunituliza kwa hiyo kilichotokea inawezekana alikosea mashart ngoma ikamrudia yeye.
Huyo alikuwa na mambo yake lakini akataka akidhibiti wewe ikala kwake.. Kama hakuna shida upande wako wala huna haja ya kufanya lolote.. Tulia tuu
 
Back
Top Bottom