Mshana Witch project

Mi hua najiuliza mtaani kwako watu hawakuhisi vibaya kwel? Nakumbuka ulileta uzi unaohusu chumvi namna unavyo weza kuitumia ili kupambana na nguvu za giza.Nilifanya Kama ulivyo elekeza nikabain wew ni mwamba.
 
Mkuu wa Anga nimeangalia kwa haraka kuna shida na yama au nchi i nyingi zenye rangi ya kijani bendera zake Kindumba hii inamaana gani
Kijani ni alama ya uhai lakini kikiwa kimekoza...kikipauka ni dalili ya ukame mkuu...sasa kwa kipindi tulichonacho pengine ni ukame wa kura
 
jamaa bana
 
Na wabongo tunavyopenda shirki, hakika utawapata wengi.
 
Mi hua najiuliza mtaani kwako watu hawakuhisi vibaya kwel? Nakumbuka ulileta uzi unaohusu chumvi namna unavyo weza kuitumia ili kupambana na nguvu za giza.Nilifanya Kama ulivyo elekeza nikabain wew ni mwamba.
Serious mkuu?
 
Fresh mkitoka ku do demu anakufungashia kile kifutio mnamalizana

Kumamake Kuna dem aliendaga na leso yangu aliyokuwa anajifutia nilipokuwa namtia geto et anaenda kuifua..ikawa mazima.

Anyways..hata akilota atajisumbua. Nilianza kupikwa toka nipo kinda
 
Kumamake Kuna dem aliendaga na leso yangu aliyokuwa anajifutia nilipokuwa namtia geto et anaenda kuifua..ikawa mazima.

Anyways..hata akilota atajisumbua. Nilianza kupikwa toka nipo kinda
 
Mganga ni nani? Mchawi ni nani? Mimi kusema kweli ni mshirikina maana nafanya vyote viwili
Bro Mshana Jr mimi binafsi huwa na kuelewa sana nikiwa jamii forum bila kuona post yako naona hapaja noga, kizuri zaidi napenda jinsi huwa una tueleza ukweli wa mambo salute ubarikiwe but am looking forward kukutana na wewe siku moja atleast nipige story mbili tatu huwa napenda kuelewa na kujuwa hizi elimu una tupa kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…