Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Ikitokea wakakaa na kufanya jambo lolote la ajabu (ambalo ni geni Machoni/Masikioni mwetu) naomba nitag...
Wote hawa Vichwani na Mtazamo bado ni wa Ulimwengu wa tatu.
Wote hawa Vichwani na Mtazamo bado ni wa Ulimwengu wa tatu.
Hivi kwa mfano ikatokea Mshana Jr, Davinc, Mzizi mkavu, Rakims, Lifecoded, The bold, Zitto,Pasco, Kiranga na baadhi niliowasahau siku wakakaa meza moja hivi hawawezi kufanya kitu kweli..? Yani kipindi hicho wote wakasahau kubishana kuhusu asili ya Yesu, kuhusu mke wa kwanza wa Adam, Kuhusu waisraeli asilia, kuhusu alien wapo au hawapo na mambo kadhalika nakadhalika... Wakaamua siku ngoja na sisi tukae sasa tufanye kitu chetu..

