Ni mchawi?au?!
ni mwalimu wa ulozi
Mi nilijua tu huyu mshkaji haelewki na hii picha ataikataa na najua katika dp s yeye ila nasikitika muumini wewe uliwapiga picha wenzako ukaileta tafadhal wataje na hao wengine mnaoabudu wote
Plz

Aisee
Mshana jr ukuje huku
Eeeeeeeh
Yake anayajua mwenyewe.




Hii ni kitu ambacho sikiamini hata kidoogo hapa duniani
Hakuna kitu ka hicho
Toka lini wachawi wakavaa nguo ka za kung-Fuh
Hii imenikumbushia BONGO MOVIE jini limevaa jezi ya ARSENAL![]()

Hao ni manchester united wakiwa ibadani. mshana jr yuko Ambangulu muda huu anapigwa tu na Baridi LA milimani