Laki 7 maisha hayaendi waambie wakulipe milion 10 pumbaf wewe
Yaani ulivyosema 'asante kwa kutujuza unapokea laki 7' tayari nikahisi unapokea less than that. Pesa huwa haijai mkononi, swala ni kuwa content tu na kujitahidi kuhakikisha unamake ends meet.Kuna wenzako wanahudumia extended family, wanasomesha na watoto wao wanapanga foleni ya kwenda chooni kwa mshahara wa lak 3 kwa mwezi!
kuna wengine huku dar wanapata mshahara wa sh 2000 kwa siku na mungu anasaidia maisha yanasonga
Tafuta bwana kigogo,yataenda na chenji itabaki.