Ni nini limit ya bajeti ya mavazi ya Rais?
Hivi akiamua kuvaa suti za Savile Row na Armani tu taifa litatakiwa kugharimia pia? Mwisho wetu wa kugharamia ni kiasi gani?
Wananchi tunahaki ya kujuulishwa maswala haya.
Nyani,Wewe unaona wananchi tuna haki pia ya kujua raisi wetu analipwa mshahara kiasi gani kwa mwezi?
Nyani,
Only in Tanzania. Mshahara wa rais ni siri kwa sababu rais kajiajiri mwenyewe. Enzi za Mwalimu Nyerere tulijua alikuwa analipwa kiasi gani kwa mwezi. Enzi za mafisadi wanajidai eti ni siri ya serikali.
Wewe unaona wananchi tuna haki pia ya kujua raisi wetu analipwa mshahara kiasi gani kwa mwezi?
<br />Hivi mshahara wa raisi wa Tanzania hakuna kabisa anayeujua?<br />
<br />
Na hivi kwanza mwajiri wa raisi ni nani? Manake nijuavyo mimi mwajiri wa mtu yeyote yule lazima ajue mshahara wa huyo mwajiriwa wake. <br />
<br />
Sasa mimi ningependa kumjua huyo mwajiri wa raisi wa jamhuri yetu ili nimuulize yeye moja kwa moja kiasi cha mshahara anachomlipa na mafao mengine yanayoambatana na hiyo kazi ya uraisi.<br />
<br />
Humu kuna wanachama 47,000 na kitu (yeah..hii idadi ni pamoja na sisi wenye majina mengi). Yaani katika hawa wote hakuna ajuaye kiasi cha mshahara wa raisi?
Ni nini limit ya bajeti ya mavazi ya Rais?
Hivi akiamua kuvaa suti za Savile Row na Armani tu taifa litatakiwa kugharimia pia? Mwisho wetu wa kugharamia ni kiasi gani?
Wananchi tunahaki ya kujuulishwa maswala haya.
<br />
<br />
Kwaani rais anaajiriwa?, hakuna chuo cha kusomea urais, rais huchaguliwa tu tena na watu wote, i.e wasomi kwa wajinga, waumini kwa makafiri, walokole kwa mapagani, pia mafisadi na mabwia SEMBE.
This is another thing, ndiyo, Rais anapendeza kwa mwonekano, but at what cost to the Nation kama si ya mshahara wake?? Kwanini PM na mawaziri wengine wasinunuliwe?? Kwanini wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza hawanunuliwi?? Ila Rais mwenye kila kitu, madaraka ya kunyonga included, ndiye anayenunuliwa nguo kwa bajeti isiyojulikana mpaka wake...
Inabidi mbunge mmojawapo aulize hili Swali katika moja ya vikao vijavyo. Nani mnafikiri aulize hili Swali. BTM, mishahara ya mawaziri tunaijua?
We definitely need more transparency in the way our government operates.
<br />Utaambiwa mshahara wa rais hautajwi kwa sababu unahusiana na usalama wa taifa. How? <br />
<br />
Daftari la wageni wa Kikwete ikulu haliwekwi wazi pia kutokana na "usalama wa taifa"<br />
<br />
Mapato ya rais na kodi aliyolipa haijuulikani. <br />
<br />
Wabunge na Mawaziri nao malipo yao hayako wazi