yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 109
Awa jamaa hafai hata bure na wenzao wanaojiita restless development..
Akil zao zinawatosha wenyewe, yan hawalip kabisa utadhani hawajui maisha ya mtanzania....😡😡
Wanakufanyisha kazi masaa mengi, almost siku nzima, halafu hakuna kitu wanalipa..!!!
Huu ni unyanyasaji kabisa, na kama kuna officer yeyote wa haya mashirika awaambie wenzake, waache ubaguzi..!!!
Mnafanya kazi na wazungu, ila wazungu ndio wanathaminiwa kuliko wenye nchi..
Acheni hizo mambo!!
Napata hasira sana kuona mwafrika mwenzangu anaungana na wale jamaa kutoka nje kuninyonya..:thumbdown:
Kama yamewagusa JIREKEBISHENI..!!!
Kama,nmeongea pumba, yaachen hapa hapa....:banghead:
hicho unachokisema sio kweli mimi nimewahi kuvolunteer na vso na hakuna ubaguzi unaofanywa na shirika...wala wazungu hakuna wanachopendelewa kama ni allowances mnapewa sawa na wazungu...kama kulala vijijini wote mnalala huko...sema kuna baadhi ya kazi huwa zinwaelemea wabongo lwakuwa wazung wnakuwa bado hawajajua kiswahili mfano kwenye baseline survey unakuta mnafanya na wanakijiji ambao hawajui kiingereza inabidi mbongo ndio uzungumzenae...sasa cjajua huo ubaguzi uko kwenye nini labda...