Mshahara wa Project Officer VSO International

Mshahara wa Project Officer VSO International

mdau_mimi

Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
5
Reaction score
2
Habarini za Mida hii ndugu wanajamvi?

Mimi ni mgeni katika jukwaa hili... Samahani sana ndugu zangu kwa kupost mada hii wakati huu, bila shaka wengi wetu watakuwa waejipumzisha tayari.

Ninaomba kusaidiwa na wanaoifahamu vyema hii NGO ya VSO, ya kwamba wanalipa mshahara kiasi gani kwa ngazi ya "Project Officer"???

Ni hilo tu ndugu zangu, Natanguliza shukurani!
 
Waulize wenyewe mkuu. Mshahara ni siri,pia sekta binafsi hawana scale za wazi.
 
VSO is a voluntary organisation dont expect much not above $1000 depending with place of deployment. if its local post less than 1million
 
Habarini za Mida hii ndugu wanajamvi?

Mimi ni mgeni katika jukwaa hili... Samahani sana ndugu zangu kwa kupost mada hii wakati huu, bila shaka wengi wetu watakuwa waejipumzisha tayari.

Ninaomba kusaidiwa na wanaoifahamu vyema hii NGO ya VSO, ya kwamba wanalipa mshahara kiasi gani kwa ngazi ya "Project Officer"???

Ni hilo tu ndugu zangu, Natanguliza shukurani!

All the best..... Kaka we kakaze kwenye interview kwanza then baadae kitaeleweka tu cha mshahara.... Il naamini wako fair...
 
Hivi Hawa peace corps nao kwa mwenye kujua salary scale zao zikoje, please
 
Volunteers wanapewa pesa ya kula tuu ambayo hadi mwaka jana ilikua laki mbili na nusu officer inategemea na kitengo chako alafu ni wachache sana maana wanapatikana makao makuu ya kila nchi wanayooparate na volunteers huwezi kupata kama wewe si mmarekani
 
Volunteers wanapewa pesa ya kula tuu ambayo hadi mwaka jana ilikua laki mbili na nusu officer inategemea na kitengo chako alafu ni wachache sana maana wanapatikana makao makuu ya kila nchi wanayooparate na volunteers huwezi kupata kama wewe si mmarekani

Kuna nafasi wametangaza hivi karibuni nadhani itakuwa ni Training and Logistics Coordinator, vipi kwa nafasi kama hii salary scale yake
 
Awa jamaa hafai hata bure na wenzao wanaojiita restless development..
Akil zao zinawatosha wenyewe, yan hawalip kabisa utadhani hawajui maisha ya mtanzania....😡😡
Wanakufanyisha kazi masaa mengi, almost siku nzima, halafu hakuna kitu wanalipa..!!!
Huu ni unyanyasaji kabisa, na kama kuna officer yeyote wa haya mashirika awaambie wenzake, waache ubaguzi..!!!
Mnafanya kazi na wazungu, ila wazungu ndio wanathaminiwa kuliko wenye nchi..
Acheni hizo mambo!!
Napata hasira sana kuona mwafrika mwenzangu anaungana na wale jamaa kutoka nje kuninyonya..:thumbdown:
Kama yamewagusa JIREKEBISHENI..!!!
Kama,nmeongea pumba, yaachen hapa hapa....:banghead:
 
Awa jamaa hafai hata bure na wenzao wanaojiita restless development..
Akil zao zinawatosha wenyewe, yan hawalip kabisa utadhani hawajui maisha ya mtanzania....😡😡
Wanakufanyisha kazi masaa mengi, almost siku nzima, halafu hakuna kitu wanalipa..!!!
Huu ni unyanyasaji kabisa, na kama kuna officer yeyote wa haya mashirika awaambie wenzake, waache ubaguzi..!!!
Mnafanya kazi na wazungu, ila wazungu ndio wanathaminiwa kuliko wenye nchi..
Acheni hizo mambo!!
Napata hasira sana kuona mwafrika mwenzangu anaungana na wale jamaa kutoka nje kuninyonya..:thumbdown:
Kama yamewagusa JIREKEBISHENI..!!!
Kama,nmeongea pumba, yaachen hapa hapa....:banghead:

Wasiofaa ni peace corps au VSO bado sijaelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom