Mshahara wa polisi

Mshahara wa polisi

1. Upolisi sio ajira kama kufanya kazi kwenye NGO.

2. Kama unataka kufanya kazi Polisi bila kupenda kufanya kazi hiyo hata ungelipwa milioni kamwe hutofurahia maisha yako yote.

3. Mishahara ya majeshi yote ni siri so ninaweza kukuthibitishia kuwa WOTE walioandika hapo juu wamekudanganya.

4. Mishahara ya karibu sekta zote za serikali mi considerably midogo ukilinganisha na private sectors.

5. Jichunguze tena kwann unataka kufanya kazi Polisi..motive behind (mshahara au kulitumikia taifa)

6. Siku zote hata ungefanya kazi Price water hse coopers ama KPMG usifurahie mshahara wa kuajiriwa...try and make your own money. That way you will enjoy what you are doing and love your life.

7. The best place to work, in the world, na ukalipwa mshahara mkubwa kuliko sehemu nyingine yeyote ni kichwani kwako. (Wazungu wanaita self employment). Una nini kichwani kwako? Ideas? ...hapo ndipo palipolala utajiri mwingi.

8. Someone once said, "the richest place in the world is 'makaburini'" ..because that's where million dollar ideas are burried.

9. Nikutakie kila la heri katika kuanza maisha (nasema hivyo kwakuwa najua siku hizi polisi wanaajiri fresh graduates). Ukitaka pesa nyingi hazipo polisi..hazipo KPMG...but ukitaka kuwa Polisi kwa sababu unapenda kuwatumikia wananchi basi nina uhakika Afande Semiono (mkuu wa ajira) atakupokea kwa mikono miwili.

NB: Tanzania na rushwa vimetokana na watu wanaofanya kazi alimradi wapate kazi...si kwa sababu wanapenda kufanya wanachokifanya. #tafakari #chukuaHatua


PM moderator, Mentor.

Ahsante sana kwa kunifungua kichwa kwa mawazo yako. Kwa kweli ulichokisema kina msingi mkubwa sana katika maisha ya mwanadamu anayejitambua. Siyo kila siku watu wanalia lia ilhali wana vichwa ingawa sijui kama vinafanya kazi vizuri.
 
Last edited by a moderator:
1. Upolisi sio ajira kama kufanya kazi kwenye NGO.

2. Kama unataka kufanya kazi Polisi bila kupenda kufanya kazi hiyo hata ungelipwa milioni kamwe hutofurahia maisha yako yote.

3. Mishahara ya majeshi yote ni siri so ninaweza kukuthibitishia kuwa WOTE walioandika hapo juu wamekudanganya.

4. Mishahara ya karibu sekta zote za serikali mi considerably midogo ukilinganisha na private sectors.

5. Jichunguze tena kwann unataka kufanya kazi Polisi..motive behind (mshahara au kulitumikia taifa)

6. Siku zote hata ungefanya kazi Price water hse coopers ama KPMG usifurahie mshahara wa kuajiriwa...try and make your own money. That way you will enjoy what you are doing and love your life.

7. The best place to work, in the world, na ukalipwa mshahara mkubwa kuliko sehemu nyingine yeyote ni kichwani kwako. (Wazungu wanaita self employment). Una nini kichwani kwako? Ideas? ...hapo ndipo palipolala utajiri mwingi.

8. Someone once said, "the richest place in the world is 'makaburini'" ..because that's where million dollar ideas are burried.

9. Nikutakie kila la heri katika kuanza maisha (nasema hivyo kwakuwa najua siku hizi polisi wanaajiri fresh graduates). Ukitaka pesa nyingi hazipo polisi..hazipo KPMG...but ukitaka kuwa Polisi kwa sababu unapenda kuwatumikia wananchi basi nina uhakika Afande Semiono (mkuu wa ajira) atakupokea kwa mikono miwili.

NB: Tanzania na rushwa vimetokana na watu wanaofanya kazi alimradi wapate kazi...si kwa sababu wanapenda kufanya wanachokifanya. #tafakari #chukuaHatua


PM moderator, Mentor.

Kitu ambacho sijaelewa ni kwamba mwishoni mwa Miaka ya 90s TRA iliunganishwa na kuboreshewa Mishahara ili kuwafanya wafanye kazi kwa Morali na kutotamani Rushwa.Inasemekana mkakati huu uliboresha Makusanyo ya Kodi na Pato la Taifa.
Naomba Ushauri wako ili nijue kama aliyebuni mkakati huu alikosea.
Pili,Wabunge wanapokea 11,000,000/= kwa Mwezi na Posho kibao na Walimu wengi na Polisi wanapokea Chini ya Tshs.300,000/= kwa Mwezi,Unafikiri kwa nini wabunge walipwe mamilioni ya Pesa ilhali nao wanaweza kufanya shughuli za Ujasiriamali?
Mkuu nasubiri kwa hamu sana majibu yako ili niweze kutoa hukumu kwa Polisi,walimu,TRA na Wabunge.
 
Ahsante sana kwa kunifungua kichwa kwa mawazo yako. Kwa kweli ulichokisema kina msingi mkubwa sana katika maisha ya mwanadamu anayejitambua. Siyo kila siku watu wanalia lia ilhali wana vichwa ingawa sijui kama vinafanya kazi vizuri.

Mkuu nisaidie na mimi nifunguke Kichwa.Bado sijaelewa
Ni kwa nini baadhi ya wafanyakazi walipwe Mapesa mengi mfano wabunge Tshs.11,000,000/=na Posho kedekede kwa mwezi ilhali kada zingine kama Polisi na walimu wambiwe wajisaidie wenyewe kupitia ujasiriamali?.
 
Kitu ambacho sijaelewa ni kwamba mwishoni mwa Miaka ya 90s TRA iliunganishwa na kuboreshewa Mishahara ili kuwafanya wafanye kazi kwa Morali na kutotamani Rushwa.Inasemekana mkakati huu uliboresha Makusanyo ya Kodi na Pato la Taifa.
Naomba Ushauri wako ili nijue kama aliyebuni mkakati huu alikosea.
Pili,Wabunge wanapokea 11,000,000/= kwa Mwezi na Posho kibao na Walimu wengi na Polisi wanapokea Chini ya Tshs.300,000/= kwa Mwezi,Unafikiri kwa nini wabunge walipwe mamilioni ya Pesa ilhali nao wanaweza kufanya shughuli za Ujasiriamali?
Mkuu nasubiri kwa hamu sana majibu yako ili niweze kutoa hukumu kwa Polisi,walimu,TRA na Wabunge.

1. Mkuu hiyo uliyoiongelea ni paradox niliwahi kuisoma mahali...and it is worldwide. Siwezi kuiongelea maana si Tanzania pekee.


2. Kuhusu TRA ukweli ni kwamba wao kuongezewa mishahara hakujapunguza rushwa yoyote. Mishahara ya walimu na askari wetu iboreshwe si kwa minajili ya kuwazuia kula rushwa bali kwa lengo la kuendana na mabadiliko ya gharama ya kuishi.


3. Rushwa ni tabia induced...si mshahara..something else needs to be done ku-curb hilo la rushwa.

4. Kama nilivyosema hapo awali, tujitahidi kufanya kazi zile tuzipendazo na sio alimradi kazi. Unakuta mtu anamaliza chuo anatuma CV kwenye makampuni kama mia. Una lengo gani???!
 
Back
Top Bottom