Pole mkuu umeandika kwa uchungu sanaHakuna mtu au waziri simpendi kama huyu mama Wa utumishi. Huyu mama alipoulizwa bungeni kuhusu ongezeko la mishahara alikuja na mbwembwe nyingi kusoma matrioni ya pesa na kusema serikali itaongeza mshahara. Miezi imepita hakuna la nyongeza yeyote. Hivi huyu mama anaona watumishi ni vikaragosi kila siku kuwahadaa kwa majibu yake ambayo hayatekelezeki.
Bunge la mwisho hivyo hivyo akaulizwa na akaja na majibu Yale Yale na ahadi ya increment mwisho wa mwezi huu. Mshahara umetoka lakini hakuna chochote zaidi ya kuwaongezea hasira watumishi.
Akiwa anajibu hoja anakuja na majibu yenye mihemko lakini mwisho ya siku hakuna linalotokea. Hivi hawa wanahitaji watumishi waandamane ndio wajue watu wamechoka ahadi amabazo zilitakiwa zitekelezwe bila hata ya kutokea adha yeyote. Hivi hata hizi increments ambazo ni haki ya mtumishi nazo kuzipata mpaka watu wagome.
Serikali hii iliahidi kutatua kero za watumishi ila imeshindwa zaidi imezidi kuongeza matatizo na kupunguza ari ya watumishi kufanya kazi. Wameongeza 15% na hii imekuwa ni tatizo ukizingatia kuwa mishahara yenyewe ni duni.
Mpaka hapa hii inaashiria kuwa serikali hii haiwezi tatua matatizo ya wananchi wake . Ikiwa imeshindwa kutatua matatizo ya watumishi ambao hawafikii hata robo ya watanzia VIP itaweza tatua matatizo ya watanzania zaidi ya million 50.
Tuikatae na tuiendele kuipiga vita mpaka mwisho. OVER
Inakera sana mtu kuwa anawahadaa watu wenye akili timamu.Pole mkuu umeandika kwa uchungu sana
Gharama sana,Angevuna tu si zinahifazika mwakani bei itapanda
Hakuna mtu au waziri simpendi kama huyu mama Wa utumishi. Huyu mama alipoulizwa bungeni kuhusu ongezeko la mishahara alikuja na mbwembwe nyingi kusoma matrioni ya pesa na kusema serikali itaongeza mshahara. Miezi imepita hakuna la nyongeza yeyote. Hivi huyu mama anaona watumishi ni vikaragosi kila siku kuwahadaa kwa majibu yake ambayo hayatekelezeki.
Bunge la mwisho hivyo hivyo akaulizwa na akaja na majibu Yale Yale na ahadi ya increment mwisho wa mwezi huu. Mshahara umetoka lakini hakuna chochote zaidi ya kuwaongezea hasira watumishi.
Akiwa anajibu hoja anakuja na majibu yenye mihemko lakini mwisho ya siku hakuna linalotokea. Hivi hawa wanahitaji watumishi waandamane ndio wajue watu wamechoka ahadi amabazo zilitakiwa zitekelezwe bila hata ya kutokea adha yeyote. Hivi hata hizi increments ambazo ni haki ya mtumishi nazo kuzipata mpaka watu wagome.
Serikali hii iliahidi kutatua kero za watumishi ila imeshindwa zaidi imezidi kuongeza matatizo na kupunguza ari ya watumishi kufanya kazi. Wameongeza 15% na hii imekuwa ni tatizo ukizingatia kuwa mishahara yenyewe ni duni.
Mpaka hapa hii inaashiria kuwa serikali hii haiwezi tatua matatizo ya wananchi wake . Ikiwa imeshindwa kutatua matatizo ya watumishi ambao hawafikii hata robo ya watanzia VIP itaweza tatua matatizo ya watanzania zaidi ya million 50.
Tuikatae na tuiendele kuipiga vita mpaka mwisho. OVER
Haujapiga hesabu gharama za kuhifadhi mpaka mwaka kesho. Pia hakuna guarantee kuwa mwaka kesho kutakuwa na bei nzuri KiongoziAngevuna tu si zinahifazika mwakani bei itapanda
Wenzako washapata tayari na Washaumaliza MkuuMbona tarehe bado kaka!
...Mwezi haujaisha jombaa, komaa.Kwa public servants..Kuna yeyote aliyenusa tayari mshahara wa mwezi huu. ???
watu wengi wataogopa kulima mwaka huu so mwakani demand itakua kubwa mkuu ni mambo ya demamd and supply mkuuGharama sana,
Na mwakan kuna mbaaz mpya
unauliza auMshahara tayari NMB
Tayariunauliza au
Salary ipo hata CRDB mm nimechukuaJamani tusaidiane Nmb tayari au bado
Ukipata Mshahara leo tarehe 22/9 halafu mwingine ukapata 22/10 sio mwezi tayari?Mbona tarehe bado kaka!
Katiba si suluhisho pekee la matatizo ya watanzania, bado kuna kundi kubwa la watanzania wasiojitambua (elimu-less) na hawa ndio mtaji wa watawala, hufanya wanayojiskia wao huku wakiwa na uhakika wa kurudi madarakani bila kukataliwa.Watanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana. Kuna kakikundi ka watu ndo kameifanya Tanzania yakwao.Wananeemeka na kila kitu.
Tayari,mbina wanatuma sms siku hizi?Jamani tusaidiane Nmb tayari au bado